Habari ndugu, naendelea na uchunguzi wa jambo hili kiundani zaidi kuhusiana na wahusika wengine kiundani zaidi kwa sababu kuna uhusika wa sababu nyengine ambazo zipo nyuma ya kivuli cha ugaidi
Ni miezi sasa imepita toka nitoe chapisho langu mnamo mwezi wa nne mwaka huu 2020 kuhusiana na dalili za kuenea kwa Salafi Jihadi nchini Tanzania.
Chapisho langu la mwez wa nne lilileta picha tofauti tofauti kulingana na aina ya wasomi na wachambuzi wengine na huku baadhi ya wananchi...
AHLUL SUNNA WAL JAMAA Vs AL SHABAAB
Mapambano kati ya Ahlul Sunna Wal Jamaa yalipata moto kuanzia Novemba 1 mpaka Disemba 16 mwaka 2008 katika mji wa Galgaduud uliopo katikati ya nchi ya Somalia na uliopo maili 230 kutoka mji mkuu Mogadishu. Katika mapigano hayo kila kundi lilikua linatumia...
CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM
Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho yaliyopita nlieeleza kwa uchache dalili za kuenea kwa Ugaidi nchini Tanzania. Na pia kuna baadhi ya...
Naaam kaka,umeongea vizur saana. Katika kambi moja huko Syria baada ya wapiganaji wengi wa ISIS kukamwatwa walihojiwa na wengi wao walikuua hawaujui uislamu vizur huku idad ya wastan walikua wameslimu na hwana hata mwaka mmoja ktk uislam, hivyo bas hii inaeleza kua wengi hudanganywa saana...
Naam hio ndio njia kuu ya kuwahadaa Waislam duniani waje kujiunga kupigana na makafiri lakin chini ya kapeti kuna lengo ambalo wanalitaka, kila kundi lina maslah ambayo wanayatarget ndo maana makundi mengi ya kiislam nchini Syria yalianza kupigana wao kwa wao.
Ndio kaka Ahlul Sunna Wal Jamaa ndio waliowapiga Al Shabaab na kuchukua Galgaduud kua himaya yao wakat hapo mwanzo ndo ilikua moja ya ngome za AlShabaab
Kaka nkufahamishe vizur kuhusiana na makundi hayo ukiachana mbali na sharia kuna maslah binafs makundi hayo yanataka ndo maana Al Qaida anampinga ISIS japo hawashambuliani lkn pia hawapatani vilevile.
NAJARIBU KUELEZEA KUTOKANA NA MATUKIO YANAYOTOKEA KATIKA NCHI MAJIRANI, NA PIA VILEVILE NIMESEMA ÚWEZEKANO" . NA PIA KAANGALIE MIAKA ILIYOPITA . SIKUSEMA TANZANIA KUNA KAMBI ZA KIGAIDI JIULIZE MBONA TANZANIA TULIKUA TUNAONGOZA KWA KUA NA WAPIGANAJ WA AL SHABAAB SOMALIA. NINGEPENDA ULIFUATILIE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.