kundi la tid na huyo anayewatuma kusafirisha eti wanasaka utajiri..namshaur tid aende kitengo pale muhimbili aokoe maisha yake ni buuuure atakufa na denda linatililika
tz ya sasa na tz ijayo hee mungu tunusuru....wanazidi kuwapumbaza watoto wetu ili watoto wao wanaosomea nje ya nchi waje kua maraisi wa mazezeta ili waendeleze wi......i
Ukienda kucheza mechi za nje utakuja kujuta.....jaribu kutafuta tatizo liko wapi ongeza ufundi mpe mambo mageni kwake tizama ata pono ujifunze stail take care
walianza kwa kukimbia midahalo ya wabunge na urais wakati wa uchaguzi mkuu 2010 sasa wanaingia na mbinu mpya ili wanachi tusijue madudu yao...lakini yote yanamwisho wake like misri tunis nk.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.