Recent content by Abdulbastwa

  1. A

    Msaada computer analyst tbc

    Habari waungwana. Naomba mwenye taarifa 2juzane. Tbc walitanangaza nafac tofaut ikiwemo system analyst II, wiki iloisha waliita kwa usaili kada zingine kupitia utmishi ila hii sikuiona. Vp kwani walishaitwa usaili? Taarifa pls.
  2. A

    Wakuu nimechanganyikiwa - daktari yupi yuko sahihi?

    Mi ntakusaidia kucalculate siku zako. Ntajie mara ya mwisho umeingia menstruation period (mp) lini? Taja tareh na mwez Ntai2mia kukuhesabia. Uhakika.
  3. A

    PCCB mbona kimya?

    Habari za jioni wanajamvi. Naomba kuuliza mwenye taarifa ya majibu ya oral interview ya pccb, mwanzoni niliambiwa wiki 2 baada ya interview sasa ni mwezi kasoro, tafadhali mwenye update atusaidie. Nawasilisha
  4. A

    TPDC nini kinaendelea

    Hiyo mbona afadhali !?! Post Ya System Analyst-II wameita wa2 213 wanataka m2 mmoja. yani hadi raha na mtihani wenyewe mgumu. kila sentence/mstari una neno "system analyst", wa2 2mesoma ram na cpu lkn wapi. patamu hapo.
  5. A

    Waliofanya Interview ya PCCB

    Vp baada ya interview trh 14, watatoa majibu baada ya muda gan? Kwa mwenye kujua 2juze tafadhal maana si wakat wote tunakua online. Tusije kosa kama ilivokua udom
  6. A

    Nini itakuwa sifa ya kujiunga na a-level na vyuo vingine

    Aaamina. Mungu atubariki sote na atupe moyo huo.
  7. A

    Ufaulu huu wa kidato cha nne hadi ngapi unaenda kidato cha tano,na ngapi kusomea ualimu wa primary?

    Mi sijaelewa wanavyo panga madaraja. Mwingine kapata point 42 kawekewa 0 na mwingine 42 kapewa div 4. Hapa ndo nin?
  8. A

    Shafi Dauda ni mkweli

    Very good. You are the greatest minded. Mckurupuke 2 na hcia zenu
  9. A

    Kauli ya Mwanasheria wa TFF kuhusu sakata la Okwi

    Huyu mahweso ni mwanasheria wa ndoa hajui maswala ya mpira. Kama unaona mgongolwa hafai basi jichague mwenyewe uende tff. Nyie ndo mnamponda malinzi kwa visingizio vya kabila.
  10. A

    Hawa PCCB wako wapi?

    Karibu na makao makuu ya jwtz au diamond jubilei. Nenda kaulizie maeneo hayo
  11. A

    Vacancy: ICT Officer

    Requirement zote hizi! Mshahara 2M ipo? au ndo yale yale.
  12. A

    Tangazo la maombi ya kazi (PCCB)

    Thanks alot bro. Ila walo kereka waniwie radhi, nadhan ha2kuelewana, au wamenielewa vbaya au ni kuthink beyond. V sory again
  13. A

    Tangazo la maombi ya kazi (PCCB)

    Thank you very much brother. Mungu akubariki. Kwa niliowakera samahani sana, haikua lengo langu. Very sory
  14. A

    Tangazo la maombi ya kazi (PCCB)

    Ahsante kwa ushauri kk, nadhani hamkunielewa vzuri au nimekosea namna ya kupost. Am very sory kwa niliemkera ila haikua lengo langu. Samahan sana.
  15. A

    Tangazo la maombi ya kazi (PCCB)

    Habari yenu jf. Samahani waungwana kwa yeyote mwenye lile tangazo la AJIRA PCCB lililotolewa SEPTEMBER 2013 KWA AJILI YA MAOMBI YA KAZI HIZI TAFADHALI ANISAIDIE.
Back
Top Bottom