Abdulbastwa
Member
- Jul 24, 2012
- 22
- 2
- Thread starter
- #21
Thank you very much brother. Mungu akubariki. Kwa niliowakera samahani sana, haikua lengo langu. Very sory
Thanks Kada kwa kumsaidia dogo, nami nilikuwa natafuta njia ya haraka ya kumsaidia tatizo lake. Naona amewaelewa wana JF na amejifunza jinsi ya kuandika siku nyingine.
Wewe unaonekana muungwana, cku nyingine kabla ya kuapply kazi yeyote unafungua folder@ kwa mfano umeaply PCCB..Folder unai name PCCB for further references..unaweka vitu vyote mule vinavyouhusu PCCB applications ikiwemo mission na vision ya PCCB $ salary scale ya kazi unaomba$ (swali la kizushi)ukimkamata mtu amekula rushwa what are the steps.....Kila la kheri.Ahsante kwa ushauri kk, nadhani hamkunielewa vzuri au nimekosea namna ya kupost. Am very sory kwa niliemkera ila haikua lengo langu. Samahan sana.
Wewe unaonekana muungwana, cku nyingine kabla ya kuapply kazi yeyote unafungua folder@ kwa mfano umeaply PCCB..Folder unai name PCCB for further references..unaweka vitu vyote mule vinavyouhusu PCCB applications ikiwemo mission na vision ya PCCB $ salary scale ya kazi unaomba$ (swali la kizushi)ukimkamata mtu amekula rushwa what are the steps.....Kila la kheri.
Nani hayuko serious??? by the way nashukuru kwa kufata ushauri...kila la kheri.watu wapo serious hawajibu maswali ya kizushi, wanajibu maswali ya msingi.
By the way, ushauri wako ni mzuri.