Walete ushahid wa kutosha..tuwaone hao magaid...ili tuamin kma ni kweli..wasiletestory na picha za miaka kadhaa ili watengneze hof na chuki kwa wa Tz...
Wankuja kuanzsha thread ili wahesbu comentz...
Halaf wnajfnya wanajua..
Pole sana...ni kawaida ya ukweli kuuma...
Lakin ndo hvyo haina jinc...
Hauna hoja ya msingi katika hili..endelea kuamn unachoamn...
Mwenye ubongo kma wa tembo..
Inawezkna kwa fikra zako...lakin nafkiria kuwa hizo fikra hazitoki kichwan...kuna sehemu unazitoa na si mahali pazur kwan hutoka vitu sivyo...jaribu kutumia kichwa kufkir....
Picha ya hao magaid iko wap...msituletee picha za matukio mengine halaf mkasema ni ya hao magaid..leteni ushahid wenye uhakika acheni kuleta propaganda n kutafta namna ya kutukana uislam na waislam...
Udini kauanza yesu maana naye pia alisema kuwaambia wanafunz wake...KICHWA CHAKO KIMEJAA FIKRA ZA UDINI KAMA UKAWA..muda huu hatuangalii hayo tunaangalia sera kwa faida ya TAIFA LOTE..hatutak UDINI wala UKANDA..sera zako hizo wapelekee UKAWA...
Tunataka TANZANIA yetu moja...mungu ibarik TANZANIA..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.