Nokia Asha 230 Inadumu chaji.
Qn.Hivi ina uwezo wa kutumia browser kama vile safari na Chrome? msaada tafadhali!
Qn.Bei yake dukani kwa sasa tsh ngapi kwa Dar es salaam?
Msaada wadau juu ya hii program inayotolewa SUZA,
Bachelar of Science and Information Technology with Education.
Ufafanuzi tafadhali,Unasomea vitu vingap hapo?
Baada kuhitimu unafanya kazi gan?
Aulizaye ataka Kujua.
Msaada wadau juu ya hii program inayotolewa SUZA. Inaitwa Bachelor of Science in Information Technology with Education.
Ufafanuzi tafadhali, unasomea vitu vingapi hapo? Baada kuhitimu unafanya kazi gani?
Aulizaye ataka kujua.
Habari wadau wa jf,
Nina moja la kuliwasilisha ambalo ni ushauri,
Kwa yeyote aliyefeli kidato cha nne lakini bado anakusudia kurudi shule namshauri yafuatayo:-
1.Atie nguvu azma/kusudio lake asirudi nyuma.
2.Epuka kuwaomba ushauri vijana wa mtaani wasio na elimu kuhusu azma yako hiyo,kwani...
Nahitaji ile programme ya computer ya "Encarta,the free encyclopedia" yenye masomo kama vile Maths,science,geography na history.
Ni Jinsi gani naweza kuipata?
Hivi hii serikali yetu inajali sekta ya elimu kweli,yapo mengi lakini kwa leo nazungumzia kuhusu SELECTIONs ZA WADOGO ZETU Wanaotarajia kuingia kidato cha 5 Julai mwaka huu.Yaani hadi leo hakijaeleweka chochote..ukizingatia kunahitajika maandalizi ya kutosha...Je,tuendelee kujipa moyo au kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.