Kama uliwahi kusoma neno kinyume kwahiyo mh Othmani hapo kaongea kinyume chake huyo ni mzanzibar na unawajua wa Zanzibar kwa mafumbo hilo ni fumbo lifumbue maaana utajua alicho kusudia
Jussa mmoja ni sawa na akili za wabunge 300 wa chama cha ccm walioko bungeni na kama inakuma jussa kusema hivo kamulize mjukuu kinda kindaki wa mwana mapinduzi fatma karume ukweli wote atakwambia na wazanzibar wote wanajua
Ile kuona nyomi ya watu sio kama wengi walikua na hudhuni hapana asilimia 89 ya watu wale walikua wameenda kuhakikisha jee kafa kweli isijekua ni ujanja wake tu anaekti ili angalie anachukiwa na watu kiasi gani lkn mpaka siku anatiwa kaburini ndio watu wakaamini kafa kweli kwani ni vigimu kweli...
Havi mtoshi kwa sababu siku hizi hakuna jogoo anaeuzwa laki moja bara barani Wala kufanya maigizo ktk misafara yake ya kugawa pesa na kuwapanga baadhi ya watu waeleze shida zao halafu wapewe pesa kwa mabunda bara barani
Yani wa lipo pigwa libiya Iraq Iran Yemen nyote mume nyamaza kimya kwa sababu ni wa Islam na ni wa Arab sahivi wana pigwa makafiri kila mtu a na waonea huruma Tundu lisu aliwahi kusema wa kitu Maliza sisi wa takuja kwenu nyinyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.