Recent content by Abbyarico

  1. Abbyarico

    Nina leseni Class E, natafuta kazi ya udereva wa IT

    Mkuu naomba connection kwenye hiyo kazi ya sheli
  2. Abbyarico

    Kilimo cha miwa (Elimu, masoko na faida ya kilimo)

    Ni kweli kabisa ndio maana muwa hautakiwi upandwe kwenye udongo wa mfinyanzi sana
  3. Abbyarico

    MSAADA WA MAFUNZO YA UAMUZI (refaree)

    Habari za kutwa ndungu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mwenye nia thabiti ya kuweza kukuza mpira wa Tanzania kwa kuwa mchezaji namba 13 yaani namaanisha mwamuzi(refaree) lakini changamoto ni moja ninayo ipata sijajua ni wapi pa kuanzia na sijajua ni vitu gani muhimu vya kuzingatia Please kwa...
  4. Abbyarico

    Kilimo cha mpunga Tanzania

    Uzi mtamu
  5. Abbyarico

    Ufugaji Nguruwe Kibiashara sio rahisi ila unawezekana🙂

    Naombeni msaada kwa wataaramu wanao jua namna nzuri ya kufuga nguruwe wa biashara na wanachukua mda gani mpaka wanakua tayari kwa kufanyiwa biashara Karibuni sana kwa maoni
  6. Abbyarico

    Kilimo cha miwa (Elimu, masoko na faida ya kilimo)

    Ahsante sana kwa mwongozo mkuu
  7. Abbyarico

    Kilimo cha miwa (Elimu, masoko na faida ya kilimo)

    Mzee wa miongozo[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
  8. Abbyarico

    Kilimo cha miwa (Elimu, masoko na faida ya kilimo)

    Somo kubwa sana mkuu barikiwa mno
  9. Abbyarico

    Kilimo cha miwa (Elimu, masoko na faida ya kilimo)

    Somo zuri sana mkuuu nimekuelewa sana but kwa kuwa nipo mbali na viwanda vya sukari nilitizama kwa kina sana kwa sababu watu wengi sana wanakula miwa lakini mm nilitaka nilime na kuweza kuwauzia wale wauzaji wa masoko makubwa kwa mbeya na dsm mkuu unanishaurije. Hapo
  10. Abbyarico

    Kilimo cha miwa (Elimu, masoko na faida ya kilimo)

    Habari za kutwa wapendwa ndugu na jamaa. Napenda kuchukua wasaha huu kwa kuweza kujoin kwa pamoja na wana JF wenzangu na waalimu wazuri wa kilimo. Lengo la kuuandaa chapisho hili ni kutaka msaada kwa wataalamu wa kilimo cha miwa. 1 Jinsi ya uandaaji wa shamba 2-Jinsi ya uandaaji wa mbegu...
  11. Abbyarico

    Msaada aneijua vyema biashara ya "underwear" za kike

    Na vipi mkuu ili uone maendeleo mazuri kwa flame maximum uwe na mtaji kuanzia kiasi gani??
  12. Abbyarico

    Msaada aneijua vyema biashara ya "underwear" za kike

    Dah mkuuu hakika nimekuelewa sana sijui hata nikwambie nini ngoja nimtafute huyu mwenye hii namba nashukuru sana kwa maelezo yako mazuri hakika wengi watajifunza kupitia hii
  13. Abbyarico

    Msaada aneijua vyema biashara ya "underwear" za kike

    Okey changamoto nimezipokea na wengi mnaonhelea changamoto moja kuu juu ya wanunuzi ambao ni jinsia ya kike sawa nimewaelewa Swali langu: Changamoto tumeshaijua je ni kwa njia ipi unaweza kuepukana ili kuweza kushinda changamoto hizi? ‘Kwa maana huwezi kulikimbia tatizo bali ni kulisolve
Back
Top Bottom