Ni sawa sawa tu sbb Ccm laiti kama wameyafanya mazuri toka mwanzo mpka saiv miaka 50 watu wasingejali lkn uovu,kuuliwa watu kudhulumiwa watu ndo yamefikia apa kwahiyo muungno kufa c ajabu udugu Wetu kati Ya watanganyika na Zanzibar utakuwa pale pale isipokuwa tu udugu wa serikali umekufa sbb...
Zanzibar kwanzaaaaaaa MPKA kieleweke Mara hii nashauri tanganyika teteteeeni
Nchi yenu Mbona hamtaki utaifa wenu wa tanganyika jamani au hamsomi historia yenu sie Znz tunaidai Znz yetu
Hehe ttz la watanganyika hawana katiba yao na hawaijui
Nchi yao hawana uchungu ce tuna uchungu tulipindua na km
Mara hii musipoiyacha uhuru
Tupo tyr kwa lolote ikiwezekana al shabab watatoka Znz sasa mana kwa midomo
Hamskii na Inshallah mtaiwacha mara hii
Huyo kafurungwa shivji lazima watu wadai Tanganyika uyo muhindi anajuwa wapi historia kwahiyo mwaka 1964 iliungana Tanganyika na Znz au Tanzania na Znz mbona mnaleta usomi wenu uchwara apa
Safi sana @ mind ivyo ndio
Inavyotakiwa Tanganyika lazima irudi na sie uku tunadai nchi yetu Ya Znz. Apo Poa awa wasomi Kina kabachori wanajali njaa zao tu hapa mara hi mpka kieleweke uku Tanganyika kule Znz hapo ikisha tutakuwa pamoja
Tanganyika daini nchi yenu kwanini hamtaki kuidai
Nchi yenu sisi wazanzibar tunadai Znz yetu saiv kwahiyo juu yenu kuidai Tanganyika yenu au hamtaki mtajijua Wenyewe
Hapo hakuna muungano Bali Tanganyika imeikalia Znz kimabavu huu ndo ukweli Wenyewe na kwanini hati za muungano hazionekani hapa hakuna muungano ipo haja Ya kuitwa kura Ya maoni kuulizwa watu na kama kuishtaki ni Znz ndio itaishtaki Tanganyika kwa kuipa mafao kdg na kutokuwalipa pesa za kuvunjika...
Hapo hakuna democracy bana katika nchi yetu tusidanganyane bure warioba kazi alioifanya ni kubwa na inaridhisha watu lkn alichokifanya jk ni kutetea mcimamo wa Chama chake c kutetea au kusimamia taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.