Wasomi wamuunga mkono Prof Shivji

Wasomi wamuunga mkono Prof Shivji

Safi sana @ mind ivyo ndio
Inavyotakiwa Tanganyika lazima irudi na sie uku tunadai nchi yetu Ya Znz. Apo Poa awa wasomi Kina kabachori wanajali njaa zao tu hapa mara hi mpka kieleweke uku Tanganyika kule Znz hapo ikisha tutakuwa pamoja
 
Acha uchochezi
Uchochezi ni kudai serikali mbili,kuitambua Zanzibar na kujifanya kuotoijua Tanganyika.


Wewe Tanganyika unaijua?
Jamhuri ya Tanganyika ni taifa lililoko Afrika ya Mashariki,limezungukwa na bahari ya hindi pamoja na maziwa makubwa ya Afika-ziwa Victoria,ziwa Nyasa na ziwa Tanganyika.

Na hii ni bendera ya Tanganyika yetu.
125px-Flag_of_Tanganyika.svg.png
 
Watanzania wengi tuna tabia ya unafiki c wakweli wala wawazi, baadhi ya watu hupenda kusema mambo ili kumfurahisha mkubwa.Tabia hi ni mbaya na haikubalika hata kidogo 2talipeleka taifa letu kubaya
 
mkoa wa vyuo vya elimu ya juu umeeleza rasmi msimamo wake wa kuunga mkono muundo wa serikali mbili ambao unataja kuonekana kuwa ndio mkombozi wa wananchi wa tanzania.
Zaidi fuatilia hapa
m.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/23844-wasomi-wasisitiza-utaifa-unawezekana-serikali-2
kama kweli tunataka tanganyika yetu tunasemaje kuhusu burundi na rwanda.au tuna mchecheto wa kurukia mambo ambayo hata hatuyajui kwa kina
 
kama kweli tunataka tanganyika yetu tunasemaje kuhusu burundi na rwanda.au tuna mchecheto wa kurukia mambo ambayo hata hatuyajui kwa kina

Tunataka Tanganyika Burundi na Rwanda haituhusu
 
Mkoa wa Vyuo vya Elimu ya Juu umeeleza rasmi msimamo wake wa kuunga mkono muundo wa serikali mbili ambao unataja kuonekana kuwa ndio mkombozi wa wananchi wa Tanzania.
Zaidi fuatilia hapa
m.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/23844-wasomi-wasisitiza-utaifa-unawezekana-serikali-2
Wasomi wenye njaa bana kaaaazi kweli kweli.hawawezi kujisimamia wenyewe, ptuuuuu!
 
Kwan source ndo ilotoa kauli??

Tatizo lipo koye kwanza kwa hiyo source yako na pili hiko kikundicha wasomi wenye njaa kali walio nunulika kutoa hoja kwenye hilo gazeti
 
kama kweli tunataka tanganyika yetu tunasemaje kuhusu burundi na rwanda.au tuna mchecheto wa kurukia mambo ambayo hata hatuyajui kwa kina

Rwanda na burundi zinainhgiaje kwenye tanganyika yetu??. Acha wehu,,vijana wa ccm bana hawanaga timamu.
 
jamani ndg zangu watanzania acheni kufatilia na kuunga mkono mambo ya vyama,mda huu tuimarishe katiba yetu,kikubwa serikali mbili ndio mafanikio yako wewe mtanzania,kuwa makini hasa uchangiaji wa katiba na sio uchangie mambo ya vyama,kumbuka pia mda huu ni wakati wakutengeneza katiba na wala sio kutengeneza chama.
 
watanzania tusionyeshee vyama katika mchakato wa katiba ni mda wa kuandaa katiba stahiki kwa manufaa ya taifa letu.
 
Kuna wasomi nchi hii? Miprof mikada mitupu full njaaa!
 
Back
Top Bottom