Sijasoma makala kabisa ila nakumbuka kuna mzee wangu alisema nanukuu"mwanamke aliyeondoka kwenye ndoa yake mwenyewe na ukamwambia asiondoke,basi hakikisha harudi hata akija kuomba msamaa na ukoo wake wote.
Kuna jamaa nakumbuka kipindi hiko school alikuwa anavuta sana bangi kiasi kwamba ikitokea akaikosa hawezi kulala kabisa.
Binaadamu anayejitambu hawezi kuvuta bangi
Ulizembea mapema ulitakiwa umfungue akili tangu alipofika kwako.lakini bado hujachelewa kama unaweza mtafutie biashara au ikikushinda mwambie ukweli kwamba ilipofikia unatakiwa uondoke hapa nakupa miezi miwili ya kujipanga.
Umenikumbusha kuna mdada mmoja tulisoma nae primary(alikuwa anasikia vizuri)baada kama ya miaka 8-9 nikakutana nae asee alikuwa hasikii amepoteza kabisa usikivu nilishangaa sana.
Sema aliolewa na jamaa ambaye anamjali na anaelewa hali yake.
Vilio sikuhizi havisaidii tena.kwamba ulie uonekane una haki zaidi? Big no....nikaw na mtu miaka 10 na ni mdogo na mimi ni muislam au muikristo unataka awe mpagani? Atakuwa muislam au muikristo kama mimi.
Kila mtu anatakiwa apate haki yake na isiwe ya upande mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.