Vilio sikuhizi havisaidii tena.kwamba ulie uonekane una haki zaidi? Big no....nikaw na mtu miaka 10 na ni mdogo na mimi ni muislam au muikristo unataka awe mpagani? Atakuwa muislam au muikristo kama mimi.
Kila mtu anatakiwa apate haki yake na isiwe ya upande mmoja.
Pitia huu kidogo.
https://www.jamiiforums.com/threads/mbinu-tatu-wanazotumia-wanawake-kulaghai-na-kuwadanganya-wanaume-waingie-kwenye-mitego-yao.2170005/
Hakuna hata mmoja aliyenunua gari? Duuh.Nimepitia uzi wote...hakuna hata Ist serious? Moderator uzi ufutwe huu.haiwezekani hakuna hata mmoja mwenye ndinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.