Recent content by Abby Senior

  1. Abby Senior

    Biashara ya Coltan

    Habari zenu wadau, Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata madini ya COLTAN ili tuweze kufanya biashara, Mnunuzi yupo tayari. Ahsanteni.
  2. Abby Senior

    Nahitaji kufahamu bei ya mafuta ya alizeti

    Habari zenu wadau, Ninaomba kufahamu bei za mafuta ya alizeti, nahitaji kwa wingi.
  3. Abby Senior

    Mashine za kusaga na kukoboa

    Je kuna mashine za kukamua mafuta ya mahindi?
  4. Abby Senior

    Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

    Habari zenu wadau, Ninaomba kama kuna mzoefu wa biashara hii aweze kunisaidia mawazo jinsi ya kuanzisha biashara ya kusaga, kukoboa na kuuza unga pamoja na kujua ni mashine aina gani zinafaa kwa kazi hii pamoja na bei zake. Natanguliza shukrani.
  5. Abby Senior

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Habari zenu wadau. Ninataka kuanzisha biashara ya kusaga nafaka, na kuuza unga kwa kuweka kwenye vifungashio. Ninaomba kufahamu bei ya mashine za kusaga mahindi size 100 na size 75 ninaweza kupata kwa kiasi gani. Pia nipate na bei za mashine za kukoboa roller 3 au roller 2. Ahsanteni sana.
  6. Abby Senior

    Free Kaspersky Internet Security 2009 License for 100 Days

    Vipi kuhusu Kaspersky antivirus ya Mobile phone inaweza kupatikana keys zake
  7. Abby Senior

    Private torrent ngumu kuzipata izi hapa

    Naomba msaada kupata keys za mobile security and anti virus
  8. Abby Senior

    Uwekezaji nishati

    Habari wadau, Kuna wawekezaji wanataka kuwekeza Tanzania au popote Africa katika sekta ya nishati, je ninaweza kupata wahusika au kama kuna wadau humu tufanye kazi?
  9. Abby Senior

    Msaada: Nimepoteza leseni ya udereva

    Wadau naomba msaada kama kuna mtu yeyote ameiona mahali leseni ya udereva namba 4000549027 anisaidie niipate, namba yangu ya simu ni 0679663661,naomba msaada.
  10. Abby Senior

    Nimepoteza leseni ya udereva

    Wanajamvi habari zenu? Naomba kuleta kwenu taarifa hii ya kupotelewa na leseni yangu ya udereva namba 4000549027. Ninaomba mdau yeyote kama ataiona mahali anipigie namba 0679663661 ili anisaidie niipate leseni hiyo. Natanguliza shukrani zangu.
  11. Abby Senior

    Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

    Hii inakubalika kwa upande mmoja, Tuzungumzie positive side na negative side, katika negatve side wewe unamuita mtoto lakini mtoto huyo alikuwa anaweza kubeba wanaume na tayari alikuwa ni mzoefu wa kujamiiana(na tatizo lilikuwa ni la kimapenzi), je atakuwa hana uwezo hata wa kusukuma mtu...
  12. Abby Senior

    Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

    Ok, tufahamishe basi, wazee wa baraza kwa nini wapo mahakamani? Na wapo kwa ajili gani?
Back
Top Bottom