Habari zenu wadau,
Ninaomba kama kuna mzoefu wa biashara hii aweze kunisaidia mawazo jinsi ya kuanzisha biashara ya kusaga, kukoboa na kuuza unga pamoja na kujua ni mashine aina gani zinafaa kwa kazi hii pamoja na bei zake.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu wadau.
Ninataka kuanzisha biashara ya kusaga nafaka, na kuuza unga kwa kuweka kwenye vifungashio.
Ninaomba kufahamu bei ya mashine za kusaga mahindi size 100 na size 75 ninaweza kupata kwa kiasi gani.
Pia nipate na bei za mashine za kukoboa roller 3 au roller 2.
Ahsanteni sana.
Habari wadau,
Kuna wawekezaji wanataka kuwekeza Tanzania au popote Africa katika sekta ya nishati, je ninaweza kupata wahusika au kama kuna wadau humu tufanye kazi?
Wadau naomba msaada kama kuna mtu yeyote ameiona mahali leseni ya udereva namba 4000549027 anisaidie niipate, namba yangu ya simu ni 0679663661,naomba msaada.
Wanajamvi habari zenu?
Naomba kuleta kwenu taarifa hii ya kupotelewa na leseni yangu ya udereva namba 4000549027.
Ninaomba mdau yeyote kama ataiona mahali anipigie namba 0679663661 ili anisaidie niipate leseni hiyo.
Natanguliza shukrani zangu.
Hii inakubalika kwa upande mmoja, Tuzungumzie positive side na negative side, katika negatve side wewe unamuita mtoto lakini mtoto huyo alikuwa anaweza kubeba wanaume na tayari alikuwa ni mzoefu wa kujamiiana(na tatizo lilikuwa ni la kimapenzi), je atakuwa hana uwezo hata wa kusukuma mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.