Mashine za kusaga na kukoboa

Mashine za kusaga na kukoboa

Mashine za kusaga na kukoboa kwa kutegemea project yako tunazitengeneza tupige 0762612213
IMG_20200213_230311_223.jpeg
Screenshot_20190214-114700.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wanaohitaji
mashine za kukoboa na kusaga tunawaletea ofa kubwa msimu huu wa mavuno

Ssasa miliki mashine yako kubwa kwa bei ndogo kabisa

Msimu wa mavuno ni sasa

Offa zetu hizi Tanzania viwanda inawezekana

Orodha mashine za kusaga

Kinu
Namba 50 mota 20hp gharama kuu-2600000
Mashine kamili kabisa

Kinu
namba 75 mota 30hp gharama kuu-3400000

Kinu
Namba 100 mota 40hp
Gharama 5200000

Orodha mashine za kukoboa

Rola 2 kinu + mota 20hp gharama kuu 2500000

Rola 3 kinu + mota 30hp gharama kuu 3500000

Rola 4 kinu +mota 40hp gharama yake 4500000

Rola 5 +mota 40hp gharama yake 5700000

Kumbuka mashine zote ni pamoja na reli zake na stand

Wahi msimu huu wa offa zetu mashine imara na bora kabisa

Tupo ubungo external lolote nipigie 0762612213

View attachment 1049038View attachment 1049039View attachment 1049040

Sent using Jamii Forums mobile app

Natuamai u bukheri wa afya
Naomba unifafanulia hizo mashine za kusaga na kukoboa:
Mashine hii ina uwezo wa kuchakata kiasi Fulani cha zao Fulani kwa saa, lengo hata asiye zijua awezi kujipima
Kwa vyakula, standard huwa stainless steel, kuepuka usumbufu, je ni grade gani unaitumia?
Brand ya motor iliyofungwa

Kwa mashine za tofali:
Pamoja na yote weka THICKNESS ya plate unayotumia kutengenezea mixer, ikiwezekana na brand ya moro iliyofungwa

Pamoja
 
Nakushauri tafuteni mtu wa marketing, wewe jikite kwenye vyuma mkuu..... unajibu kikavu kavu sana.

Ila bei zenu zipo poa.
 
Nakushauri tafuteni mtu wa marketing, wewe jikite kwenye vyuma mkuu..... unajibu kikavu kavu sana.

Ila bei zenu zipo poa.
Mkuu ni kweli usemacho kwa mawazo yako lakini si kila kitu kitawekwa wazi hapa ndio maana tunashauri mteja afike ofisini hapa ni maelezo ya awali karibu kwa mashine lolote 0659567058
 
Natuamai u bukheri wa afya
Naomba unifafanulia hizo mashine za kusaga na kukoboa:
Mashine hii ina uwezo wa kuchakata kiasi Fulani cha zao Fulani kwa saa, lengo hata asiye zijua awezi kujipima
Kwa vyakula, standard huwa stainless steel, kuepuka usumbufu, je ni grade gani unaitumia?
Brand ya motor iliyofungwa

Kwa mashine za tofali:
Pamoja na yote weka THICKNESS ya plate unayotumia kutengenezea mixer, ikiwezekana na brand ya moro iliyofungwa

Pamoja
Asante sana kiongozi haya tunayafanya kwa anaekuja site
Ni kweli kwa wanaoelewa ukiweka hivyo ataelewa kiurahisi lakini ukumbuke wapo wengine kuelewa kwao mpaka akione
Pia kuna kulinda brand

Pia kuna price variation karibu kwa maswali yote tuulize 0659567058
 
Je mashine ya kukausha Hilo (cardamom) zinapatikana hapo kwa bei gani?
Wale wanaohitaji
mashine za kukoboa na kusaga tunawaletea ofa kubwa msimu huu wa mavuno

Ssasa miliki mashine yako kubwa kwa bei ndogo kabisa

Msimu wa mavuno ni sasa

Offa zetu hizi Tanzania viwanda inawezekana

Orodha mashine za kusaga

Kinu
Namba 50 mota 20hp gharama kuu-2600000
Mashine kamili kabisa

Kinu
namba 75 mota 30hp gharama kuu-3400000

Kinu
Namba 100 mota 40hp
Gharama 5200000

Orodha mashine za kukoboa

Rola 2 kinu + mota 20hp gharama kuu 2500000

Rola 3 kinu + mota 30hp gharama kuu 3500000

Rola 4 kinu +mota 40hp gharama yake 4500000

Rola 5 +mota 40hp gharama yake 5700000

Kumbuka mashine zote ni pamoja na reli zake na stand

Wahi msimu huu wa offa zetu mashine imara na bora kabisa

Tupo ubungo external lolote nipigie 0762612213

View attachment 1049038View attachment 1049039View attachment 1049040

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashine za kusaga na kukoboa tupigie 0659567058
IMG-20200607-WA0001.jpeg
 
Back
Top Bottom