Limitations zipo na nazielewa kwa mfano kutokudownload nyimbo na videos straight from safari. Nyimbo za whatsapp huzioni kwenye my music kama ilivyo kwa simu nyingne pamoja na kutumiana files kwa bluetooth.
Ila kama ni applications zile basic ambazo wengi huzitumia mfano whatsapp, twitter...
Watu hutofautiana, mimi nimetumia nokia symbian, android phones, windows phone na iphones. Nimerud tu kwenye iphones... Inategemea na mtu anapenda nini. Ila mm napenda iphones.
Jkt hutoa muda wa week moja. Kambi nyingi niliona hvyo au kama nyumbani ni mbali mfano sisi tuliokuwa kigoma waliruhusu siku 3 watu kwenda mjini na kurudi kwa ajili ya application, mwaka huu sijajua utaratibu wao. Application za tcu hazihitaji cheti chochote. Ila kama mtu alikuwa ameweka malengo...
Wakuu,
Nimeleta bidhaa nyingine mpya pamoja na accessories zake.
Ipo samsung galaxy s3 bei yake ni 340000 tu.
Nyingine ni samsung galaxy s5 bei yake ni 680000 tu.
piga simu au tuma sms kwa maelewano zaidi 0657233029.
Njoo tufanye biashara.
Karibuni sana
Form one mpaka form six yangu nilikuwa natumia simu katika shule tofauti nlizopitia.. Kote ilikuwa hivi hivi hasa Galanos na Northern Highlands nlishuhudia simu za watu zikivunjwa. Sikuwahi kukamatwa ila naelewa madhara yake kimasomo, simu ni bora uache nyumbani, usipokuwa makini utakuwa...
Kuna htc one xv brand new with full full accessories
Bei yake ni 300k
Maelewano yapo
Pia kuna Htc one v used for two weeks
Accessories zipo
Bei yake ni 120k
Maelewano yapo pia
Napatikana Daresalaam
Kwa mawasiliano 0657233029
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.