Dimond alipofika ni kwa juhudi zake mwenyewe hataivi ni wivu tuu wa watu flani hata mumchukie bado anahela mingi mumfungie ni wakimataifa atauza mbelembele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namkubali sana membe uwaziri wake wa mambo ya nnje uliipigia debe Tz ndo kupata taasisi mingi kutoka ughaibuni madola kupatikana kwa wingi ajira zilikua masha alaah akipewa urais membe mwenyeji sana ughaibuni atapanda .ara kadhaa mambo yatakaa sawa kwa nchi za kiafrica lazima utengeneze ukaribu...
Serikali ina nianjema kwenye private mony imeamua kusaidia wastaafu.lakini nikweli?mtumishi akiwa kazini hadi leo hajathaminiwa stahiki zao hawapewi.wastaafu eeee aaa imekulakwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.