Je unatunia simu yako kama wi-fi hotspot wakati wa kazi ofisini au masoko chuoni? Wakati mwingine internet inakata mtu akikupigiaa sasa acha na hizo habari suluhisho limepatikana kwani ni Vodacom Router na inapatikana kwa bei nafuu sana na vifurushi rafiki kabisa.
Kwa maelezo zaidi 0744002351...
Naamini katika pita pita zako imewahi kukutokea umepata me/ke mwenye jina la kufanana na ex wako huko mwanzo..huwa unachukuliaje hilo suala?
Kuna jamaa angu mmoja amekutana amedate na ke wenye majina ya Fatma,Eva, Pendo na Neema.. Wewe kwa upande wako umekutana na akina nani?
Wanahitajika vijana 2 wa mauzo ya tiles.
Watakuwa na majukumu ya kwenda kutafuta order sites mbali mbali zinazojengwa. Eneo la ofisi ni Madale na kuna posho kwa mwezi, nauli na commission kulingana na mzigo ulivyouza.
Pia nakaribisha wale wote wenye uhitaji wa tiles kwa bei poaa na offer kibao...
Hawa jamaa walitangaza nafasi ya business Specialist kwenye kiwanda Chao kilichopo mkuranga. Nilifanikiwa kuitwa interview Leo ila ikatumwa sms kuwa zoezi limehairishwa mpaka watakapo toa taarifa tena...Kuna yoyote amekutana na jambo kama hili?
Utokaji wake unategemea na sehemu biashara ilipo. Ikiwa ni maeneo ambayo yameendelea tayari mzigo utakuwa hauendi Sana mfano Duka liwe Mikocheni Ila Duka likiwa kisemvule, chamazi mzigo utatoka sana.
Unaweza kuanza na gari moja Ila nakushauri usiuze cement yenyewe weka na bidhaa nyingine za...
Zipo rasta za makampuni mbali mbali kama Stella, darling etc. Unataka kufanya jumla ama Reja reja? Reja reja unaweza pata 50-200.. jumla Kati ya 1000 Hadi 2000 Kwa katoni. Japo sikushauri uweke rasta pekee yake weka na wiving ndio zina faida. Maeneo kama Mwenge, Makumbusho, Tandika, Mbagala.
Kwanini usubiri hadi January kununua viatu vya shule kwa ajili ya mwanao, wakati ni sasa jipatie viatu vya shule na offer ya socks Kwa 35,000
Call/what's up 0744 002351
Zinapatikana no 20 - 40
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.