Recent content by AARONI ULAYA

  1. AARONI ULAYA

    Natafuta mwandishi wa vitabu

    Ndugu zangu sina maneno mengi kama wewe ni Mwandishi wa Vitabu nitafute kwa namba 0625568600 au kama unamjua mwandishi niunganishe naye tafadhari apate kazi nzuri
  2. AARONI ULAYA

    Msaada: Utaalam wa kuandika 'Dissertation'

    Mad max naomba contact yako nikucheki
  3. AARONI ULAYA

    Msaada: Utaalam wa kuandika 'Dissertation'

    Duu mkuu nikomae tena wakati nimekimbilia msaada hahahaha wana jamvi sio poa
  4. AARONI ULAYA

    Msaada: Utaalam wa kuandika 'Dissertation'

    Yes two weeks nipe namba mkuu
  5. AARONI ULAYA

    Msaada: Utaalam wa kuandika 'Dissertation'

    Naomba msaada kwa mtu anayehusika na Utaalam wa Uandishi wa Dissertation.
  6. AARONI ULAYA

    Haingii akilini Messi kuwa mchezeji bora!"

    No musami Argentina ilibebwa na Di maria na mpaka kuingia nusu fainal na hata ka angecheza fainal angewasumbua sn german lkn kwa kuwa hakucheza credit hupungua hivo alibeba timu yake mtu mwingine ni Roben ndie aliyestahili kaka ila wameangalia jina tuu lkn hakustahili kabisaaaaaa
  7. AARONI ULAYA

    Natafuta sehemu ya kuvolunteer (librarian au ukutubi)

    kweli ajira si mchezo . .....
  8. AARONI ULAYA

    Nimeitwa Viettel kwenye interview

    jamaa gani kaka waliokuita tukusaidie ikiwezekana?
  9. AARONI ULAYA

    Natafuta scholarship au udhamini kusoma masters

    kuwa wazi makubaliano yapi prof pia uwe makin ktk hilo coz ni weng wa aina yako tupo mtaani na tunatafuta kujiendeleza ktk master ila scholarship nying za nje ni mpaka mwakani coz appl nyingi zimefungwa .......tembelea www.scholarship.com kujisajiri na utapokea e mail za scholarship...
  10. AARONI ULAYA

    Chumba na sebule for rent Kimara kituoni kabisa

    120?lkn kweli kwa sasa hali mbaya sana jamaniiiiii
  11. AARONI ULAYA

    Urais si Makinda tu, Tibaijuka, Migiro nao wamo kwenye mbio hizo kuelekea 2015

    bado naitaji kufumbua macho zaidi maana sijaona
Back
Top Bottom