Recent content by Aaron Athanas

  1. A

    Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

    Proud to be Tanzanian
  2. A

    Tundu hafai kuwa mwanasheria wa CHADEMA

    Lissu ni kama wanasheria wengine akichemka anaachemshwa tu, tena hili halihitaji ucdm wala unyinyiemu, (HATA MWL ANAMWALIMU WAKE)
  3. A

    Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep Quite!, Don't Ridicule Them!.

    Zitto kwa mwanachadema yeyote linamaana kubwa sana, hasa katika mapinduzi ya chama, hoja zake za msingi zinawafanya msimpe nafasi katika muyapangayo na kuyajadili dhidi yake,hata mngebisha vipi ila ni kweli kuwa mnamwogopa zitto kama mngekuwa makini mngemvua madaraka kwa kufuata taratibu...
  4. A

    Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep Quite!, Don't Ridicule Them!.

    Nakukubali sana zitto, nakubali harakati zako, najua unamapungufu ya kibinadamu lakini Wewe si mdhambi kuliko wote, haki ya mtu haipotei bure ,,komaa kaka Sijapenda jinsi ulivyo toa siri za M/Kiti wako alivyopokea mihela ya Rostam na Mkono!. Sijapenda 'ulivyonunua' lile gari la Mkono bila...
  5. A

    Nje ya siasa hawa akina Lema, Wenje, Mnyika, Slaa and co. si watakufa njaa!?

    Walimu wote wa chuo wangekuwa maprofessor tusingekuwa na post za namna hii, hakika hoja haijajibiwa, labda niwakumbushe NJE YA SIASA WATAFANYA NINI?,, tujibu hoja tafadhali.
  6. A

    Nje ya siasa hawa akina Lema, Wenje, Mnyika, Slaa and co. si watakufa njaa!?

    Hoja ya msingi ni nje ya siasa watafanya nini? Matusi hayasaidii
  7. A

    Vita tupiganavyo sio vya damu na nyama,bali ni vita ya wanademokrasia dhidi ya wahafidhina

    Zitto Si msaliti,, na CDM makini bila zitto ni wazo potofu,, acheni blabla za mfichauchi
  8. A

    Heslb second around

    UTANZANIA ukiutafsiri kwa kina utaelewa kusaidiana kwa kila hali kupo ndani yake,, sasa kunacriticism zisizo za maana hasa kwa wanaojita wasomi,, tafadhali tuungane jamaani, dosari ndogo hazikuwai kushindwa kutokea maana HAKUNA mkamilifu,,
  9. A

    Watanzania Wenzangu Tuzikumbuke Shule Zetu za Msingi Tulizosoma

    Njiapanda primary school,, Iringa,, inahali mbaya sana jamani naomba support wakuu
  10. A

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Umetisha kama msomi mwenye faida kwa jamii,, kazi ya elimu uliyoipata inaonekana,, Asante ndugu yangu maana umeosha macho yaliyokuwa na matongotongo na hata yameona Vizuri,, hongera kwa kuwa mtanzania mzalendo ,mpenda maendeleo na umeelimika kwa kuwa unajua unachokifanya kila wakati..
  11. A

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Me nipo Dar kinondoni idara ya msingi, mataka kwenda moro mjini au Iringa mjini
  12. A

    Elimu ya msingi

    Ivi ni kweli serikali imeamua kujitwisha kaulimbiu ya matokeo makubwa bila kuandaa mazingira ,vitendea kazi na kuwakwamua watenda kazi,,. sasa matokeo kubwa yanakuja vip kama hukujenga msingi? au ndiyo kulazimisha. ? maana hakuna sekta yenye mazingira mabovu kama elimu ya msingi,,zichunguzeni...
Back
Top Bottom