Nje ya siasa hawa akina Lema, Wenje, Mnyika, Slaa and co. si watakufa njaa!?

Zitto ni mwalimu mzuri wa somo la unafiki na fitina, so the guy deserves all....!
 
jeses huyu ni mwalim ........ndio mnaofundisha huko chuo upumbavu wakija mtaani wako kama mazombi wakati huku kina sharif makoba wanagonga hela balaa poor you
 
Me ni mwalimu wa chuo kikuu, naipenda kazi yangu. Hii kazi inahitaji watu kama yeye, great thinkers with Academic Minds. Watu wavivu wavivu wa kusoma, wakurupukaji, narrow minds hapawafai huku. Huku ni mambo ya kuandika and deep thinking. Karibu bro. zitto.

Nalingia uwezo wa akili yangu kuliko chochote, nafikiri Zitto yupo kwenye mkumbo huu. Sasa kuna hawa watu ambao kutokana na uwezo wao mdogo na vipaji vinyu walivyonavyo inabidi wawategemee watu fulani kwa kila kitu, kujipendekeza!!

Sasa je nje ya siasa watu kama hawa wafuatao wataweza kuyakabili maisha haya magumu??
  • Slaa, atarudia upadre? Sioni kama diploma yake ya dini yaweza mfikisha popote!!?
  • Mbowe, may be ataendeleza biashara ya urithi?, the guy lacks innovation.
  • Lema, may be ujambazi kama enzi hizooo!!!?
  • Mnyika, may be kufundisha tuition secondary school!!!?
  • Lissu, kelele?
Siwezi wataja akina saa nane sababu wao ni wafuata mkumbo tu, hawajui watendalo.

LISSU ALILIA BAADA YA KUSHINDA KESI YA UBUNGE, ALILIA SAAAANAAA! SITEGEMEI KUMUONA MWALIMU ZITTO AKILILIA UBUNGE.

Unafundisha chuo gani we dada,coz kama hiyo degree yako haijatokana na pichu basi utakuwa unakunjwa na prof flani kwenye hicho chuo hadi ukapata kufundisha hapo....Uwezo wako ni mdogo sana tena sana hata ukiangalia mpangilio wa maneno na sentensi sio wa kiwango unachotaka kutuaminisha hapa na ninavyojua wenye uwezo mzuri hawajisii hata siku moja...we ni kanjanja tu.Jamani!!!!
 
Swali la kipuuzi sana kuulizwa na Mwl!! Ndio maana mkizeeka hamtaki kustaafu kwa kudhani mtaani kuna njaa!
 
Me ni mwalimu wa chuo kikuu, naipenda kazi yangu. Sitegemei kufanya kazi nyingine yeyote zaidi ya hii maisha yangu yote. Kijana mwenzangu Zitto Kabwe anataka kuja huku, namkaribisha sana! Kwa elimu yake na performance yake ya darasani anaiweza sana hii kazi. Hii kazi inahitaji watu kama yeye, great thinkers with Academic Minds. Watu wavivu wavivu wa kusoma, wakurupukaji, narrow minds hapawafai huku. Huku ni mambo ya kuandika and deep thinking. Karibu bro. zitto.

Kwa zitto siasa siyo kila kitu, anaweza kuwa nje ya siasa na bado akasurvive tu. Nalingia uwezo wa akili yangu kuliko chochote, nafikiri Zitto yupo kwenye mkumbo huu. Sasa kuna hawa watu ambao kutokana na uwezo wao mdogo na vipaji vinyu walivyonavyo inabidi wawategemee watu fulani kwa kila kitu, kujipendekeza!! Hawawezi kusimama wenyewe kutoa mawazo yao!! Lazima wawe na master!! Always supporting other people ambao wanafikiri wanaweza kuwabeba au la? Wanategemea kitu kimoja tu and wakikikosa hicho basi!! na mara nyingi hiyo kitu inakuwa ni OUTSIDE FORCE,

Sasa je nje ya siasa watu kama hawa wafuatao wataweza kuyakabili maisha haya magumu??
  • Slaa, atarudia upadre? Sioni kama diploma yake ya dini yaweza mfikisha popote!!?
  • Mbowe, may be ataendeleza biashara ya urithi?, the guy lacks innovation.
  • Lema, may be ujambazi kama enzi hizooo!!!?
  • Mnyika, may be kufundisha tuition secondary school!!!?
  • Lissu, kelele?
Siwezi wataja akina saa nane sababu wao ni wafuata mkumbo tu, hawajui watendalo.

Siasa ndo kila kitu kwa hao watu hapo juu, ni maisha yao, ndio tegemezi lao, wapo tayari kuua, kusema lolote kwa ajili ya siasa! Tusiwashangae sana kwa wayafanyayo. Tatizo ni waumini wakubwa wa siasa chafu.

LISSU ALILIA BAADA YA KUSHINDA KESI YA UBUNGE, ALILIA SAAAANAAA! SITEGEMEI KUMUONA MWALIMU ZITTO AKILILIA UBUNGE.

Utakuwa mwalimu wa chekechea ,chuo kikuu kuna wakufunzi na sio walimu na hawawezi kuandika pumba kama hizi ulizoandika
 
Wewe ungekuwa radio ni band moja. Ndio maana wewe mwalimu. Kweli mwalimu maana watu wa maana wanaofundisha chuo ni maprofesa wewe hujajitaja kwa hilo jina. Inaonekana wewe huna hata vyanzo vingine vya mapato ndio maana unafikiria padogo namna hiyo.
 
Hivi wewe kamanda,ishu ya Kapuya ikiisha utachangia hoja gani humu Jf? Kutwa ni Kapuya! Huna jipya eti na wewe ni Great thinker!
If you was a smart, you should know that "issues/scandals always come and go". "Stay put and do not attempt to change a channel"
 
Walimu wote wa chuo wangekuwa maprofessor tusingekuwa na post za namna hii, hakika hoja haijajibiwa, labda niwakumbushe NJE YA SIASA WATAFANYA NINI?,, tujibu hoja tafadhali.
 
Kama wewe nawe mwalimu basi hiyo fani imebakwa na vibaka wa taaluma.

Huoneshi dalili za kupevuka akili pamoja na idadi ya madarasa uliyopitia!
 
Wewe pia umekosa innovation katika uandishi wako jambo ambalo linaashiria bila ajira uliyonayo you may still end up being useless hata kwa familia yako
 
ubunifu kwishney CCM..kibanda nae aje watukuza waliomfix tena ambao bado ndio wanamkamua maneno mdomoni km nyoka anavyokamuliwa sumu.
 
Me ni mwalimu wa chuo kikuu, naipenda kazi yangu. Sitegemei kufanya kazi nyingine yeyote zaidi ya hii maisha yangu yote. Kijana mwenzangu Zitto Kabwe anataka kuja huku, namkaribisha sana! Kwa elimu yake na performance yake ya darasani anaiweza sana hii kazi. Hii kazi inahitaji watu kama yeye, great thinkers with Academic Minds. Watu wavivu wavivu wa kusoma, wakurupukaji, narrow minds hapawafai huku. Huku ni mambo ya kuandika and deep thinking. Karibu bro. zitto.

Kwa zitto siasa siyo kila kitu, anaweza kuwa nje ya siasa na bado akasurvive tu. Nalingia uwezo wa akili yangu kuliko chochote, nafikiri Zitto yupo kwenye mkumbo huu. Sasa kuna hawa watu ambao kutokana na uwezo wao mdogo na vipaji vinyu walivyonavyo inabidi wawategemee watu fulani kwa kila kitu, kujipendekeza!! Hawawezi kusimama wenyewe kutoa mawazo yao!! Lazima wawe na master!! Always supporting other people ambao wanafikiri wanaweza kuwabeba au la? Wanategemea kitu kimoja tu and wakikikosa hicho basi!! na mara nyingi hiyo kitu inakuwa ni OUTSIDE FORCE,

Sasa je nje ya siasa watu kama hawa wafuatao wataweza kuyakabili maisha haya magumu??
  • Slaa, atarudia upadre? Sioni kama diploma yake ya dini yaweza mfikisha popote!!?
  • Mbowe, may be ataendeleza biashara ya urithi?, the guy lacks innovation.
  • Lema, may be ujambazi kama enzi hizooo!!!?
  • Mnyika, may be kufundisha tuition secondary school!!!?
  • Lissu, kelele?
Siwezi wataja akina saa nane sababu wao ni wafuata mkumbo tu, hawajui watendalo.

Siasa ndo kila kitu kwa hao watu hapo juu, ni maisha yao, ndio tegemezi lao, wapo tayari kuua, kusema lolote kwa ajili ya siasa! Tusiwashangae sana kwa wayafanyayo. Tatizo ni waumini wakubwa wa siasa chafu.

LISSU ALILIA BAADA YA KUSHINDA KESI YA UBUNGE, ALILIA SAAAANAAA! SITEGEMEI KUMUONA MWALIMU ZITTO AKILILIA UBUNGE.

KAMA HII NDO WALIMU TULIONAO KWENYE VYUO VYETU, WATAZALIWA AKINA ZITTO ZAIDI YA 1000 KILA MWAKA, HIVI WEWE MWL WA CHUO KISICHOKUWA NA JINA UNAJILINGANISHA NINI NA SLAA AU LISSU?

KUHUSU LEMA WATU MNATABU YA KUMZIMA LAKINI MTU YEYOTE ANAYEMSIKILIZA LEMA KWA MAKINI, BILA KUWA BIAS ATAKIRI KUWA LEMA UONGEA MAMBO YENYE TENA YENYE HEKIMA KUTOKANA NA MAZINGIRA.


JUU YA MNYIKA NAJUA HAKUMALIZA CHUO LAKINI HUWEZI KUMLINGANISHA NA PROFESSA YEYOTE ALIYOKO NDANI YA CCM.

NAOMBA KUJUA JINSI YAKO ILI NIJUE ULIBAKIJE KUFUNDISHA KWANI KWA ULIYOAANDIKA UFAI KUWA MWALIMU, KAMA TUNAVYOJUA KUNA KUBAKI KWA AINA TATU(1. KUDESA, 2. CHUPI, 3. KUBEBWA NA WAKUFUNZI WAKO, 4. KUWA KIPANGA(hii ya ukipanga chapisho lako limeonyesha hauna))
 
Me ni mwalimu wa chuo kikuu, naipenda kazi yangu. Sitegemei kufanya kazi nyingine yeyote zaidi ya hii maisha yangu yote. Kijana mwenzangu Zitto Kabwe anataka kuja huku, namkaribisha sana! Kwa elimu yake na performance yake ya darasani anaiweza sana hii kazi. Hii kazi inahitaji watu kama yeye, great thinkers with Academic Minds. Watu wavivu wavivu wa kusoma, wakurupukaji, narrow minds hapawafai huku. Huku ni mambo ya kuandika and deep thinking. Karibu bro. zitto.

Kwa zitto siasa siyo kila kitu, anaweza kuwa nje ya siasa na bado akasurvive tu. Nalingia uwezo wa akili yangu kuliko chochote, nafikiri Zitto yupo kwenye mkumbo huu. Sasa kuna hawa watu ambao kutokana na uwezo wao mdogo na vipaji vinyu walivyonavyo inabidi wawategemee watu fulani kwa kila kitu, kujipendekeza!! Hawawezi kusimama wenyewe kutoa mawazo yao!! Lazima wawe na master!! Always supporting other people ambao wanafikiri wanaweza kuwabeba au la? Wanategemea kitu kimoja tu and wakikikosa hicho basi!! na mara nyingi hiyo kitu inakuwa ni OUTSIDE FORCE,

Sasa je nje ya siasa watu kama hawa wafuatao wataweza kuyakabili maisha haya magumu??
  • Slaa, atarudia upadre? Sioni kama diploma yake ya dini yaweza mfikisha popote!!?
  • Mbowe, may be ataendeleza biashara ya urithi?, the guy lacks innovation.
  • Lema, may be ujambazi kama enzi hizooo!!!?
  • Mnyika, may be kufundisha tuition secondary school!!!?
  • Lissu, kelele?
Siwezi wataja akina saa nane sababu wao ni wafuata mkumbo tu, hawajui watendalo.

Siasa ndo kila kitu kwa hao watu hapo juu, ni maisha yao, ndio tegemezi lao, wapo tayari kuua, kusema lolote kwa ajili ya siasa! Tusiwashangae sana kwa wayafanyayo. Tatizo ni waumini wakubwa wa siasa chafu.

LISSU ALILIA BAADA YA KUSHINDA KESI YA UBUNGE, ALILIA SAAAANAAA! SITEGEMEI KUMUONA MWALIMU ZITTO AKILILIA UBUNGE.

Kwa mawazo haya siamini kama wewe ni mwalimu wa chuo kikuu na kama ni kweli kumbe ndio maana elimu yetu haina thamani. Uliowataja wote hawakukulia kwenye siasa iweje wasiwe na chakufanya nje ya siasa? zaidi ya hapo wapo professional unless unaongelea ranks za professional
 
KAMA HII NDO WALIMU TULIONAO KWENYE VYUO VYETU, WATAZALIWA AKINA ZITTO ZAIDI YA 1000 KILA MWAKA, HIVI WEWE MWL WA CHUO KISICHOKUWA NA JINA UNAJILINGANISHA NINI NA SLAA AU LISSU?

KUHUSU LEMA WATU MNATABU YA KUMZIMA LAKINI MTU YEYOTE ANAYEMSIKILIZA LEMA KWA MAKINI, BILA KUWA BIAS ATAKIRI KUWA LEMA UONGEA MAMBO YENYE TENA YENYE HEKIMA KUTOKANA NA MAZINGIRA.


JUU YA MNYIKA NAJUA HAKUMALIZA CHUO LAKINI HUWEZI KUMLINGANISHA NA PROFESSA YEYOTE ALIYOKO NDANI YA CCM.

NAOMBA KUJUA JINSI YAKO ILI NIJUE ULIBAKIJE KUFUNDISHA KWANI KWA ULIYOAANDIKA UFAI KUWA MWALIMU, KAMA TUNAVYOJUA KUNA KUBAKI KWA AINA TATU(1. KUDESA, 2. CHUPI, 3. KUBEBWA NA WAKUFUNZI WAKO, 4. KUWA KIPANGA(hii ya ukipanga chapisho lako limeonyesha hauna))

Kajifunze kuandika Kiswahili, eti unaandika, "ufai" we kweli mburula!
 
Back
Top Bottom