Habari zenu JF,
Naomba msaada nahitaji kufungua duka la madawa lakin bado sielew procedure zake ni zipi..kuanzia umiliki, natkiwa niwe na elimu ipi, sehem ya kupata mzigo wa dawa.
Msaada jamani
Wakuu naomba mnisaidie kma kuna mashirika binafsi yanayoweza kutoa mkopo wa elimu ya juu, maana naona ndoto zangu za kusoma zinataka kukatika.. nilipata chuo mara ya kwanza kabsa na nna one ya 9 PCM.. msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.