Recent content by A.R.M

  1. A.R.M

    Wanawake kuweni makini

    Jamani wanawake kuweni wastaarabu. Kama mwanaume ajajaliwa kuwa na kipato kinachokutosha na wewe umejaliwa kupata pesa nyingi kuliko yeye usitumie kigezo hicho kumnyanyasa kwa maneno au mitandaoni kama alivyofanya "super women" nimepata jibu kwa nini wazee wetu walikuwa hawataki mwanamke kuwa...
  2. A.R.M

    Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

    Sisi watu wa rika lake tunamuelewa hilo ni bonge LA song
  3. A.R.M

    Asante sana Kikwete kwa kutupatia Rais Magufuli, Watanzania tuna raha sana

    Naona baada ya kusikia msako wa wasio na kazi umeamua kujiajiri kwa kupost sifa kwa JK jiandae kuondoka hamna namna
  4. A.R.M

    Kuna jambo litatokea ndani ya muda mfupi ujao!!!

    6. Mtoa post kuaibika kwa kusema uwongo
  5. A.R.M

    Jerry Silaa amesahaulika ama ni upepo?

    Atakuwa Katibu mkuu wa CCM ya magufuli
  6. A.R.M

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Asifiwi ni historia tu.ikiwa mbaya au nzuri itasemwa hata na maadui zako
  7. A.R.M

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Ni Mtazamo wangu tu. Nikimtazama RC Paul Makonda naona nyota yake kiuongozi inazidi Kung'aa na ni imani yangu kama CCM itaendelea kukaa madarakani atazidi kwenda juu kiuongozi maana kuna vitu anafanya yeye baadae inakuwa maamuzi kwa waandamizi wake. Baadhi ya mambo yanayonifanya niwaze ni...
  8. A.R.M

    Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

    Stephen ngonyani std?
  9. A.R.M

    Chiku Gallawa: Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wamedumaa kiakili

    ndio maana CCM wameshinda mkoa mzima.
  10. A.R.M

    Naombenu CV ya mwenyekiti CCM mkoa wa Geita

    Alikuwa anauza simu fake tanga wakamtimua karudi huko
  11. A.R.M

    Rombo hatuhitaji Mbunge wa kukaa Dar mara hii, hizi ni Sifa za mbunge mtarajiwa

    Kuna watu hawaishi ROMBO ila ni wachangiaji wazuri wa maendeleo ya ROMBO na wamewekeza ROMBO vitega uchumi ila kwa kuwa rombo fursa ni chache wamejitanua nje ya rombo kubaki ROMBO sio tija
  12. A.R.M

    Sichafuki kwa uongo, na uzushi kama huu ni wa kupuuza

    Pole sana siasa za kitanzania ni kuchafuana tu. Nadhani umeanza vzuri una sera nzuri ukipata urahisi na kuzisimamia tutapata Tanzania yenye neema
Back
Top Bottom