Jamani wanawake kuweni wastaarabu. Kama mwanaume ajajaliwa kuwa na kipato kinachokutosha na wewe umejaliwa kupata pesa nyingi kuliko yeye usitumie kigezo hicho kumnyanyasa kwa maneno au mitandaoni kama alivyofanya "super women" nimepata jibu kwa nini wazee wetu walikuwa hawataki mwanamke kuwa...
Ni Mtazamo wangu tu.
Nikimtazama RC Paul Makonda naona nyota yake kiuongozi inazidi Kung'aa na ni imani yangu kama CCM itaendelea kukaa madarakani atazidi kwenda juu kiuongozi maana kuna vitu anafanya yeye baadae inakuwa maamuzi kwa waandamizi wake. Baadhi ya mambo yanayonifanya niwaze ni...
Kuna watu hawaishi ROMBO ila ni wachangiaji wazuri wa maendeleo ya ROMBO na wamewekeza ROMBO vitega uchumi ila kwa kuwa rombo fursa ni chache wamejitanua nje ya rombo kubaki ROMBO sio tija
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.