Habari za muda huu wana jamvi, poleni kwa majukumu na harakati za kila siku za ujenzi wa taifa na kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Bila kuchelewesha muda niende moja kwa moja kwenye mada. Uumbaji wa dunia na vilivyomo ni wenye kupendeza na kutukuka sana. Ila kwa bahati mbaya mwanaadamu...
Tunaisha katika namna kuu tatu, akili mwili na roho.
Mwili - ni wewe katika umbile, ukijitazama kwenye kioo utajiona.
Akili - ni wewe katika ufahamu na yale unayo yajua.
Roho - ni wewe katika nje ya akili na mwili.
Tuziite hizo namna tatu ulimwengu, kwa hiyo kuna ulimwengu wa mwili akili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.