TheMnyonge
JF-Expert Member
- Mar 25, 2022
- 739
- 1,870
Imekuwa kawaida ya watu kuachana kwa fujo, magomvi na wakati fulani matusi, lakini Kuna namna unaweza kuitumia mkaachana bila ugomvi wala kuparurana kama hivi...
Hahahaaa, hapo mkikutana mnasalimiana kila mtu anakula njia yake...Wengine wanapiga kimya...no simu no sms...
Ndo inakuwa kwaheri...
Ni uamuzi mzuri, kikubwa asiwe adui yako..otherwise utajikuta una idadi kubwa sana ya maaduiMm tukiachana hata salam hupat maana tukianza mazoea tu nitaanza kudi##sha ovyo ovyo mwisho tutarudiana
Sema English yake hata ingekua mm nngekubali tu tuachaneImekuwa kawaida ya watu kuachana kwa fujo, magomvi na wakati fulani matusi, lakini Kuna namna unaweza kuitumia mkaachana bila ugomvi wala kuparurana kama hivi...
View attachment 2229757
Unajishutikia mwenyewe tu,hapa nishakula za uso. Tabia za kusema tuachane achane sina, navunga tu.Wengine wanapiga kimya...no simu no sms...
Ndo inakuwa kwaheri...
HahahaaaaaSema English yake hata ingekua mm nngekubali tu tuachane
Kabisa, nimeona bora nikae pembeni tu, sitaki madharau...Kwakuangalia haraka haraka txt za me na ke jinsi anajibu, nakazia umasikini mbaya sana
Mshkaji anapenda lakini kutomb*wa haikubaliki.
Simu haupokei, text haujibu throughout a year?Unajishutikia mwenyewe tu,hapa nishakula za uso. Tabia za kusema tuachane achane sina, navunga tu.
Jina halina uhusiano na uzi mkuuHalafu utajiitaje mnyonge?
... mmoja ana maneno mengi mmoja anajibu kifupi.. huyo mwenye maneno mengi ndiye kitu kizito kimemshukia tiyari na kuna uwezekano mkubwa ndiye mwenye uzi anakuja kujifarijia huku.Imekuwa kawaida ya watu kuachana kwa fujo, magomvi na wakati fulani matusi, lakini Kuna namna unaweza kuitumia mkaachana bila ugomvi wala kuparurana kama hivi...
View attachment 2229757
Nilipigwa tukio moja matata, liliniondoa relini kabisa, nusura niuze katembeleo kangu...Hongereni... hope one day ukipata mtaji mkubwa.... Utamrudia huyooo baby mama wako.
Maana issue kubwa hapo ni Cash, mapene, mafedhwaaaa, money and shekeri.
Sure kabisa!It depends umeachana na nani na mumeachanaje. Mie nita base kwa ordinary couples not those that started families.
Some people are so daft, watataka kuendelea na mazoea. Showing up at your place or work unannounced au hawajui mipaka yao ya mawasiliano. Crap.
I suggest you gove each other a break after breaking up. Ila mkipishana kitaani brief hellos are okay.