Recent content by 99Problem

  1. 99Problem

    Ujumbe kwa waliochaguliwa ifm

    ah ah ah! acha kuwatisha bana.. ifm twaijua nje ndani
  2. 99Problem

    Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

    ajipange jinsi ya ku state
  3. 99Problem

    Nalia na nacte...jaman vp n.i.t

    NACTE? haijulikani mkuu, cha msingi nenda kwenye vyuo ulivyoomba ukatazame kozi ulizoomba, mie nimeenda DIT sipo katika kozi nilizo omba, na UDSM majina ya Equivalent ni ya kuhesabu, na katika majina ya walio kosa vyuo sipo lol!
  4. 99Problem

    Nalia na nacte...jaman vp n.i.t

    Kama mimi mkuu, yani niliomba DIT na UDSM alafu pote sipo yani, na majina ya waliokosa sipo. Now nimetoka DIT kuangalia majina napo simo katika kozi nilo omba... yani nimebaki nashaa tu... ngoja niendelee na kazi maana huu ni uhuni...
  5. 99Problem

    Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

    Basi olewa nae, mambo mengine uvumilivu unatakiwa, alafu nimekukumbuka kuna pete.
  6. 99Problem

    Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

    Unatakiwa kua mkweli mbele ya jamii yako, waambie Dushelele ya huyo jamaa ni kubwa na kwamba inakumiiza mnapo kua kwenye game, pia unachoogopa zaidi kadri siku zinavyo kwenda ndio linazidi kua kubwa. Au unaonaje>
  7. 99Problem

    Kwanini CHADEMA wanauchukia Mwenge wa Uhuru?

    hata mimi na uchukia mwenge na sio mmoja wa CDM. Unaongezea taifa gharama zisizo na sababu
  8. 99Problem

    Msaada wa course DIT vs UDOM

    Hiyo ni sawa na Jesus na Yesu mkuu.. But DIT itakufaa zaidi maana Course content yao kwenye hiyo kitu imetulia sana
Back
Top Bottom