Wakuu habari zenu.
Kuna binti alimaliza kidato cha nne 2022. Lakini alisoma Art subjects, sasa anatamani kusomea afya awe nurse. Sasa anauliza kama anaweza kusoma QT masomo ya science ili apate credit za masomo ya physics na chemistry na bios, japo biology alipata B kwenye matokeo yake ya fm4...
nimekuelewa mkuu, na thats why hawataki wajue exactly amount, ila angalau tu wajue inaweza kufika au kutozidi how much ili wakakope kiasi kitakachoweza kusolve tatizo, ikipungua itakua vizuri, lakini isizidi wakashindwq
Wakuu habari zenu.
Samahani, ningependa kujua gharama ya kufanya plastic surgery ya bega na mkono kwa ujumla inaweza ku range kiasi gani approxmatry? na ni hospital gani wako vizuri kwenye hii plastic surgery issue?
Kuna shoga angu mdogo ake ameshaulowa na madaktari afanyiwe plastic surgery ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.