Dr. Yupo sahihi. hapo ni kwamba hizo 80% za kwenye ubongo, 25% za mifupa n.k nazo zipo kwenye 70% ya maji kwenye mwili. mfn. hiyo 80% za maji kwenye seli za ubongo huwenda ni 9% ya maji yote mwilini (ni mfano si halisia).
Mbona kama Sharon mfyatua tofali na Sharon aliyegraduate ni watu wawili tofauti? Mfyatua tofali mkono wa kushoto ni mlemavu na aliyegraduate mikono yote mizima. Au alianza kudraduate kisha akakatika mkono akaanza fyatua tofali then akarudi kusoma tena masomo aliyodraduate?
Sent using Jamii...
Mkuu naomba kujuzwa kama kunauwezekano wa kubadili injini ya subaru legacy bl 4, 2004 na kuweka injini ya toyota na kama inawezekana ni injini upi inafaa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.