Hehehe kumbe % kubwa ya watz akili kichwani ni hakuna kitu, na hii lawama iende kwa ma ccm yaani miaka 60 ya madaraka yao bado ujinga haujatoka..
Na mtapelekeshwa na yule dada mwembamba wa marekani mpaka mbweke kama mbwa.
Na wewe shabiki wa uto ebu acha kujiabisha kwenye huu uzi wako wakati huna...
Nani kakwambia watz tunategemea jeshi ili kujikomboa? Kwa taarifa yako watz wakiamka kudai ukombozi dhidi ya hii serikali ya ufisadi hakuna wa kuwazuia. Ni kwamba tu ccm bado imeshikilia vichwa vingi vya watz wasio jua lolote linaloendelea katika nchi yao.
Katika vitu ambavyo nimeshindwa ni kupiga picha zangu au na watu na nina simu yenye ubora mkubwa tu wa camera na siku niki kata kamba wadau wata hangaika sana kutafuta picha za kunipost kwamba rip.
Nimecheka sana ndiyo maana mwanamtandao lowasa alisema elimu,elimu,elimu hivi kweli kwa akili ya kawaida unashindwa kabisa kuona watu wanatembea kama mazombi na pikipiki zinageuka zinakuwa baiskeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.