Na sasa hivi tuna andaa proposal kwamba kuingia Zanzibar mpaka uwe na passport ila kwenda bara ni utawala wa manyani maana machogo mmezidi kuwa wengi sana huku Zanzibar.
Duh yaani tunazika watu wengi sana kwa ajali ya kugongana uso kwa uso na nyingi zikihusisha maroli lakini nobody cares government yenyewe ni kutoa rambirambi tu
Sasa we unafeli wapi si unakataa tu kumpa simu mpaka aje na polisi na wakati anasema atakuferisha we si unakuwa unamrekodi then unamchana kwamba akikuferisha makusudi tu mambo yote hadharani.
Bado nasema safari za usiku ni risk kubwa mtu unatembea 160 na wakati mbele vision imepungua kwanini usivamie vicheche, hatuja sahau bado tu yule dereva wa basi alie igonga locomotive mpaka ikatoka kwenye reli leo tena mtu kavamia roli na kwa speed aliyo ingia nayo kwenye roli karibia nusu nzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.