Recent content by 7ve

  1. 7ve

    Wataalamu wa vitasa vya milango ya mbao tupeni ushauri

    Chukua orando(Italy) bei kati ya elfu 50 mpaka 60 inategemea na eneo ila ivyo vitasa vingine jiandae kuvunja mlango kwa kitasa kuji lock
  2. 7ve

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Hehehe kumbe % kubwa ya watz akili kichwani ni hakuna kitu, na hii lawama iende kwa ma ccm yaani miaka 60 ya madaraka yao bado ujinga haujatoka.. Na mtapelekeshwa na yule dada mwembamba wa marekani mpaka mbweke kama mbwa. Na wewe shabiki wa uto ebu acha kujiabisha kwenye huu uzi wako wakati huna...
  3. 7ve

    TRC: Ajali imesababiswa na hitilafu za kiuendeshaji

    Si nimeskia trc wamesharudisha huduma toka jana au ni siasa tu
  4. 7ve

    Jeshi la Madagascar limechukua Uongozi wa nchi! Eti TV za Bongo wanashindwa kutangaza kwamba

    Hata mimi imenishangaza kwa kweli,media kubwa za bongo zote ni waganga njaa wa ccm tu na unafiki wao ndiyo unaonekana hapo.
  5. 7ve

    GE2025 Prof. Kitila: Rais Samia ameonyesha uimara wa kutosha katika kuongoza nchi

    😆😆😆 ndiyo machawa wanavyo mjaza.
  6. 7ve

    GE2025 Mnaolitegemea Jeshi imekula kwenu!

    Nani kakwambia watz tunategemea jeshi ili kujikomboa? Kwa taarifa yako watz wakiamka kudai ukombozi dhidi ya hii serikali ya ufisadi hakuna wa kuwazuia. Ni kwamba tu ccm bado imeshikilia vichwa vingi vya watz wasio jua lolote linaloendelea katika nchi yao.
  7. 7ve

    GE2025 Paul Makonda anazunguka Nchi Nzima na Kuweka Mikutano kama nani?

    Aishie huko huko kanda ya ziwa kwa mangosha wenzake
  8. 7ve

    TAFADHALI piga picha na wazazi wako

    Katika vitu ambavyo nimeshindwa ni kupiga picha zangu au na watu na nina simu yenye ubora mkubwa tu wa camera na siku niki kata kamba wadau wata hangaika sana kutafuta picha za kunipost kwamba rip.
  9. 7ve

    FT Yanga 1-0 Simba Ngao ya Jamii Jumanne Septemba 16,2025 | Benjamin Mkapa Stadium | Saa 11:00 Jioni

    Hao waamuzi mbona kama wamesha chukua ela za yule jamaa muuza magodoro.
  10. 7ve

    GE2025 Umati wa Vijana wa Tabora wakielekea kwenye Kampeni za Mgombea Urais CCM Dkt. Samia

    Hapo hamna vijana ni "vijana njaa" washapewa elfu 30 ya kula sasa wanaifanyia kazi hiyo ela waliyopewa.
  11. 7ve

    PreGE2025 Video: Tunapolekea kwenye Uchaguzi, kauli ya Sheikh huyu kuhusu wanawake ni msimamo wake binafsi au ndo msimamo wa Uislamu?

    😀😀 mbona huyo huyo shehe alikuwepo kumuombea mama kwamba mama apite na mitano tena na dua akasoma.
  12. 7ve

    KWELI Picha halisi imetumika kutengeneza video isiyo halisi kwa Akili Unde

    Nimecheka sana ndiyo maana mwanamtandao lowasa alisema elimu,elimu,elimu hivi kweli kwa akili ya kawaida unashindwa kabisa kuona watu wanatembea kama mazombi na pikipiki zinageuka zinakuwa baiskeli.
Back
Top Bottom