Hata pale keni palikuwa na huo mgogoro sijui uliishia wapi! Lakini polisi wanafaham vizuri kabisa wanarombo jinsi wasivyo na mchezo kwenye mali zao. Wanakumbuka ile ishu ya jamaa wa shimbi aliyemteka mtoto wa kike wa keni.
Mimi nasoma Masters chuo fulani hapa Moshi darasa lina wawili tu wa hiyo dini na ukiangalia tupo 34 sasa tukisema wote tunatuma barua za maombi probability ya kupata ajira itakuwa wapi?
mbona walivyosusa sheria ya msbadiliko ya katiba hamkusema? Je haikurudi bungeni mara ya pili kwa marekebisho? wale waliosema ndiooooo! hawakuchangia tena? Tusiwe masuzu! Agenda ya katiba mpya iliibuliwa na nani? Bado twasema hawa watu hawana mchango kwa taifa hili! kwa kweli napata taabu...
Hata kama unanunua mpya usijaribu kabisa Nisan utakoma kuzaliwa! ukija nalo huku kijijini ukawa na kamzigo kidogo tu kila kamlima lazima ushushe kwanza mzigo ndo lipande vinginevyo hupandi! kwenye mlima ni ya ovyo sana! Gari Toyota utaipenda mwenyewe!
hata cku moja serikali haiwezi kufanya hivyo! Mi ni mwajiriwa tayari tangu 2008, ukisema % je wale wa dip na chet ni % ngapi? Hamna cha ba mdogo hapa kinachojulikana ni kwamba serikali ilikuwa haina hela! we fikiria mpaka sasa hivi bado fungu la kwenda Btp kwa waalimu wa cheti na diploma bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.