Recent content by 6love

  1. 6

    Madirisha ya ALMINIUM

    Wakuu, Naomba kujua aina za madirisha ya alminium na gharama zake. Aksante.
  2. 6

    Naomba kujua gharama za kuweka tiles kwa chumba kimoja

    Shukrani, nimepata mwanga kwa maelezo yako!
  3. 6

    Je? Unatumaga mchango wa msiba kijijini kwenu?

    Husijitoe. Changia kama kawaida.
  4. 6

    Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?

    Rais Chisano ndio rais wa kwanza kuzungumzia kiswahili katika UNGA. Kurekebisha hiyo sententi yako kuwa Samia atakuwa wa kwanza kuzungumza kiswahili!
  5. 6

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Naenda kupimwa mkojo kwa mkemia mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. 6

    Jenarali Ulimwengu alikuwa sahihi sana

    Kiongozi wako amesoma kemia.mambo ya uchumi anayafanya kupitia kauli ya viwanda. Wewe unaelimu ipi aisee mpaka unatoa uharo huu [emoji35] Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
  7. 6

    Lowassa ashiriki kuuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi Kenya, Nkaissery

    Amekwenda sababu jeneral nkaissery alikuwa ni laigwanani Wa wamasai Wa Kenya.lakini pia lowassa amefanya kazi na viongozi wengi Wa Kenya,wanamfahamu sana kama kiongozi na kama rafiki.lowassa network yake ni kubwa sana na anakubalika east Africa. Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums...
  8. 6

    Lowassa ashiriki kuuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi Kenya, Nkaissery

    Kweli wewe ni jingalao[emoji35] Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
  9. 6

    Plate number: RC DSM Vs Lord Mayor DSM

    Kkimondoa,Hii mijamaa akili hamna kabisa.mtoa post ameuliza ili ajue.hajasema yeye ni Wa chama gani. Haya ndio aina ya majitu ambayo yalituingiza ktk mikataba ya madini then leo yanalalamika kuwa tumeibiwa. Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom