Simba Asiyefugika
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 600
- 239
You can wherever you're proud of, it's not a must to live in Tanzania.Indeed, Nowadays i'm not proud of being Tanzanian!
Post sent using JamiiForums mobile app
You can wherever you're proud of, it's not a must to live in Tanzania.Indeed, Nowadays i'm not proud of being Tanzanian!
Yaani kuna mijitu inajifanya inajua kila kituHivi mwanasheria anaweza kutoa hoja nzito zinazohusu uchumi kukua na kutokua. Duh.....its only in TZ
Birds of the same feather fly 2gether.Uliisoma hiyo aritcle ya Ulimwengu? inaonekana huelewi hata kinachoongelewa. anyway, ndiyo akina Magu wenyewe. birds of a feather...
Najisikia kinda proud na kutokuwa na elimu kwangu ninapoona hoja za wale wanaojitapa kuwa na elimu!!! Picha ambayo nakuwa nayo ni kwamba; ikiwa huu ndo usomi wenyewe basi inawezekana kuwa msomi ni kuwa mtu wa hovyo zaidi kuliko asiye msomi!!!!Una elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
Acha ubashite na wewe. Muulize anaongelea kurudi nyuma miaka hamsini katika muktadha upi? Wa kiuchumi? Kidemokrasia?Una elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
Kiongozi wako amesoma kemia.mambo ya uchumi anayafanya kupitia kauli ya viwanda.Hivi mwanasheria anaweza kutoa hoja nzito zinazohusu uchumi kukua na kutokua. Duh.....its only in TZ
Wapi kwenye bandiko lake kasema au kajikita kwenye uchumi pekee hadi usema wachumi ndo wenye kuweza kutoa hoja hii??Hivi mwanasheria anaweza kutoa hoja nzito zinazohusu uchumi kukua na kutokua. Duh.....its only in TZ
Mwenye macho haambiwi tazamaUna elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
Ukiona au kusikia muda wote mtu anadai elimu ya mwingine ujue yeye binafsi ana elimu duni sana, anajatibu kufanya compasation ya mapungufu yake kwa kujaribu comparison. Huna hoja.Una elimu gani kamanda labda tuanzie hapooo.umesomea mambo ya uchumi kidogo au umelipuka tuu. Tuletee vigezo vya kisomi wewe usidhani wote hatujaenda shule kama wewe. Na ukija utuambie nini kifanyike ili kwenda mbele miaka hamsini
Single track thinking ni hatari kama yako! Kwa taarifa yako wako wanasheria wa uchumi...iwe somo kwa wajinga wanaoaandika ovyo humuHivi mwanasheria anaweza kutoa hoja nzito zinazohusu uchumi kukua na kutokua. Duh.....its only in TZ
Uko timamu mkuu ?Ishieni mbali na nadhariabzenu za uoga za "the sky is falling"
Post sent using JamiiForums mobile app
Hahaha kamanda tumia akili walau basi kidogo. Kwa hiyo unaweza mfananisha mwanasheria huyo na mchumi proffessional. Duh. Unamaanisha nafasi anayoajiriwa mchumi anaweza ajiriwa mwanasheria kwa nafasi hiyohiyo duhh... embu nijibu hapa nione kama kweli umeenda shuleSingle track thinking ni hatari kama yako! Kwa taarifa yako wako wanasheria wa uchumi...iwe somo kwa wajinga wanaoaandika ovyo humu
Post sent using JamiiForums mobile app
Siamini kama wewe ndio umejibu hapa. Aibuuui.... hata weweeeeSingle track thinking ni hatari kama yako! Kwa taarifa yako wako wanasheria wa uchumi...iwe somo kwa wajinga wanaoaandika ovyo humu
Post sent using JamiiForums mobile app