Kwahiyo mm kusemwa tasa sizai na kutaka kufunguliwa kesi ya mauaji unaona hayana uzito bali ya yy kusemwa hadharani? Can imagine wazaz wangu wanapokea taarifa nimefunguliwa kesi ya mauaji, hapo bado jamii inaninyooshea kidole nimemkimbia mume ksa sizai, ila yy astiriwe? Hiv umefikiria mara mbili...
Ndugu walikuwa wananismanga sizai mara tasa mateso niliyopitia najua mm ndo chanzo cha kumkimbia kwenda kuish mwenyew akanywa sumu ndugu wakataka kuniweka ndani kua m sabab ya ndugu yao kujiua ikabid kikaliwe kikao nikayaxungumza hayo, kunawatu mnakimbilia kuhukum bila kujua mtu anapitia nn bora...
Nilishaondoka akanywa sumu akawahishwa hospitali na tukawekwa kikao akajib atakuwa sawa, unajua sometimes inakufanya ujiskie vibaya kila siku kuwapigia kelele ndugu juu ya tatizo la ndoa yako na mtu wao mwisho wa siku wanaamua kukausha,. Nshafanya effort nyingi sana juu ya hili tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.