Recent content by 50cent

  1. 5

    Mechi ya kesho Simba vs Singida inaenda kufunga midomo ya wanasimba wanaolalamika kuhujumiwa

    Simba anashinda kuanzia goli 3 na kuendelea, subirini muone
  2. 5

    FT | Simba SC 1-0 Singida Black Stars SC | NBC premier League | KMC Complex | 28.05.2025

    Singida hawezi kushinda mechi zote atakazocheza na Simba, unajua Simba watu wanaiona kama timu ya kawaida. Singida atapigwa vizuri, siyo chini ya goli 3
  3. 5

    Droo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 | Doha, Qatar | 20.02.2025

    Enyimba na Raja Casablanca zimetokea wapi au una wenge la usingizi?
  4. 5

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Barcelona +2.5 over Mamelod win Al ahly win Kuwait +2.5 over Al fujairah(UAE) win Simba win Hii ndiyo hela ya leo
  5. 5

    Ademola Lookman Amestahili tuzo ya mchezaji bora wa Mwaka kwenye Tuzo za CAF 2024?

    Siku hizi Africa hakuna wachezaji wa maana, kama lookman ndiyo mchezaji bora unategemea Africa itachukua kombe la Dunia????
  6. 5

    Power breakfast live wamuhoji Tundu lissu

    Mahojiano uchwara akianza kutoa taarifa za muhimu wanakata mawasiliano makusudi wakirudi unakutana na matangazo ya biashara. Clouds bure kabisa
  7. 5

    LGE2024 Matokeo ya Uchaguzi Mwanza yaanza kutangazwa, CCM yaongoza maeneo mengi ikifuatiwa na CHADEMA

    Wilaya ya Nyamagana wagombea wote walioteuliwa na vyama vyao hakuna hata mmoja aliyeenguliwa kugombea wote walipitishwa.
  8. 5

    LGE2024 Matokeo ya Uchaguzi Mwanza yaanza kutangazwa, CCM yaongoza maeneo mengi ikifuatiwa na CHADEMA

    Nyamagana Ina mitaa 178 ccm imepata mitaa 175 chadema 3
  9. 5

    Tahadhari kwa wanaoagiza bidhaa kutoka china:- Kampuni ya mapembelo cargo kwa sasa haiaminiki tena

    Tangazo gani, kaagize mzigo wako na hao utakuja kulia hapa baadae.
  10. 5

    Tahadhari kwa wanaoagiza bidhaa kutoka china:- Kampuni ya mapembelo cargo kwa sasa haiaminiki tena

    Tunakoelekea silent ocean atakuja kubaki peke yake, hizi kampuni zingine bure kabisa bora gharama kuliko hizi hasara wanazosababishia watu aisee, toka July????? Hapana aisee
  11. 5

    Tahadhari kwa wanaoagiza bidhaa kutoka china:- Kampuni ya mapembelo cargo kwa sasa haiaminiki tena

    Nashukuru kwa ushauri hawa jamaa wa mapembelo siwezi rudia wala sishauri mtu mwingine ajaribu. Wako hovyo sana na hakuna sehemu inayoboa kama customer care
  12. 5

    Tahadhari kwa wanaoagiza bidhaa kutoka china:- Kampuni ya mapembelo cargo kwa sasa haiaminiki tena

    Kuna watu nikiwemo na mimi wameagiza mizigo yao toka July hadi sasa hivi November hawajapokea na matumaini kama watapokea au imepotea haijulikani, huduma kwa wateja hawapokei simu au majibu wanayotoa ni ya uongo. Kabla hatujatapeliwa wengi bora tutoe tahadhari na kama wamo humu waje watoe...
  13. 5

    Shilingi Milioni 30 Timu inaomba ilipe kwa awamu mbili? Dharau za CCM kwa Watanzania ni sawa na hizi timu kwa wachezaji wa ndani

    Wachezaji wa ndani hata awe na kiwango usumbufu upo palepale ikifika kuongeza mkataba tofauti na wachezaji wa nje Na wachezaji wa nje walishajua kuwa hamthamini vya kwenu. Hili suala hata Bakari Nondo alishaliongelea:- Hawathaminiki kwa viongozi hadi mashabiki
Back
Top Bottom