Nikikumbuka maneno ya mkuu wa nchi wakati wa kampeni aliyoyarudia mara kwa mara kuwa, 'Watanzania sitawaangusha' na nikilinganisha na maneno yake ya leo,'msinipangie maana mimi ndio Rais', nashindwa kumuelewa kabisa.
Hajui katiba na wananchi wake wanataka nini.
HIvi Bashite na Mkuu wanakitu gani...
INASIKITISHA SANA MKUU WA MKOA ANASHINDWA KUANDIKA NAMNA HII, ANASHINDWA KUTOFAUTISHA SERIKALI NA SEREKALI NA HAWEZI KUWEKA HATA ALAMA ZA UANDISHI!
HII INATHIBITISHA ALIVYO KICHWANI.
HAKIKA TUNA SAFARI NDEFU!
Wadau,
Heri ya Mwaka Mpya!
Gari namba T 394 BJL aina ya NOAH imeibiwa mkoani Ruvuma. Kwa yeyeote atakaye iona apige simu namba 0786 792 178 au 0767 363 634
Zipompa;
Nilisikiliza kwenye vyombo vya habari,huyo ni afisa usalama wa airport kwa maana ya wale wakaguzi ambao wako chini ya TAA, na si wale ambao wanavaa suti nyeusi.
ila kimsingi nakubaliana na ww vyovyote awavyo hatakiwi kuhatarisha usalama
HAKIKA KABISA.#
MAMBO YOTE YAMEJIELEZA, BADALA YA KUSOMA WANAULIZA NI NANI AMEKUTWA NA HATIA!
KIMSINGI WAZIRI AMEFANYA KAZI NZURI, MAANA HATA HUYO MMOJA BILA KUFANYA UCHUNGUZI ASINGEPATIKANA NA WALA MABORESHO YASINGEFANYWA
LAWAMA KWA VIONGOZI
WETU
Tumepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za kuugua ghafla kwa kiongozi wetu mpendwa Maalim Seif. Wana CUF wote twamuombea dua apone haraka..Amin.
Pamoja na taarifa hizo na dua zetu kwake...Bado tuna malalamiko ya kutoridhishwa na tabia...
Mimi nashangaa kabisa,kuna watu ambao ni great thinkers humu ndani nao wanapoteza muda kumjadili afande Sele!.Hebu tujiulize madhara ya afande Sele kuingia huko ni nini,kama si zaidi ya faida kutoka humo.
Usipoteze muda mtu na akili yako kumjadili huyo,atajadiliwa na bongo movies na bongo flava...
Kazi ya mbunge ni nini ----- wee.
yy anaratibu na kusimamia shughuli za maendeleo jimboni kwake.je waziri wa maji ana maji,atawakumbuka wangapi?akili matope kweli ww,usichangie hapa nenda kwa shigongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.