atumie dawa inaitwa gynozol za Egypt. Inakuwa vidonge 3 anatumia kwa siku 3 kila siku anaingiza kimoja wakati wa kulala(atapewa maelekezo na muuza). na akishamaliza dozi azingatie mambo yafuatayo, chupi zake awe anaanika nje kwenye jua asivae chupi iloanikwa ndani, baadhi ya condoms pia...
Wapo wa 3. Tena mmoja wapo ni mama nyoni yupo mikocheni baraka plaza. Na sisi tuna mtumia huyo mama nyoni. Na nilishaenda kwa TB Joshua na kurudi kupitia huyo mama nyoni.
Sasa hiyo milioni moja ndo itajenga nyumba. Halafu site nitaendaje na viwanja vyenyewe vinapatikana mbali ya mji. Naanza na gari kwanza inirahisishie shughuri zangu za kutafuta pesa. Kwanza maisha yenyewe mafupi nizichange mpaka nyumba iishe kabla sijahamia tu chali. Ndugu wanaanza kugombea huku...
Hata SBT wako vizuri sana. Magari yao ni mapya na yana ubora. Mi nilinunua gari 2010 mpaka leo utafikiri imetoka juzi bandarini. Na kilomita hata laki hazijafika. Pata picha nilinunua gari ikiwa na km ngapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.