Wapendwa katika social networks nawasalimu kupitia Jamii Forums.
Ndugu wapendwa mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20. Nimehitimu kidato cha sita mnamo mwezi huu tar. 9. Ambapo nilikua nachukua masomo ya Arts History.. Geography na Language.
Katika masomo yangu hayo na combi yangu hiyo ya...
Yeah asante sana kwa kunikumbusha bt kama unamsaada unaweza nipatia napatikana kwa namba 0757237339.......email ni alphoncedwashi@gmail.com...kwasasa nipo Arusha lakini naishi Mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.