Nahisi Tatizo ni lako,
Tafuta namna ya kuwa bize, yaani mpe nafasi ya kukumiss,
Pia Usitegemeze furaha yako kwake Find something that you love and dive into it, Just be happy and not like stressed mda wote.
Kuwa kama mwanamke anaeweza kutamanisha as before. Tatizo wanawake mkiolewa mnaacha...
Kuweka mbali mke hilo ndio shida tena kikazi yaani anapata mpunga, mawasiliano mabovu na unasusa [emoji38][emoji38][emoji38]
Sema uwe Mwanaume asee, Ni either umwache Kiume au uvumilie kuliwa as Nice guys do
Aachane kwanza Jamaa asioneshe kutetereka kabisa
Kwa kifupi awe kama vile alivokuwa na mwanzo asioneshe kuwa bila huyo dem hawezi kuishi
Akifanya hivoo tuu kwa mda hata miezi miwili Ataamua mwenyew amrudishe, asioe au aoe mwingine
Maana hajatoa taraka Badoo
Labda uelewa wa mkeo tu ndo utakufanya ujue kuwa anahitaji matunzo zaidi ya pesa yake au anakufanya ufurahi kuwa nae na mnapanga pamoja yaan wote mnaweka mezan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.