Recent content by 2v2

  1. 2v2

    JamiiForums Tanzania Kujenga maisha nayoyatamani

    Leo nimejifunza somo muhimu kutoka kwenye mpira wa miguu. Timu bingwa haishindi kwa sababu imeshinda kila mechi. Inashinda kwa sababu imekusanya pointi za kutosha katika msimu mzima. Maisha yanafanana na season ya ligi. Watu wengi hujilaumu wanapokutana na changamoto moja au wanaposhindwa...
  2. 2v2

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    Furahia mke wa ujana wako
  3. 2v2

    JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wanataka nini..?

    😏
  4. 2v2

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakataa baba yangu kufikia nyumbani kwetu kila anapokuja mjini, nifanyaje?

    Hivi kati ya wewe na yeye nani kiongozi wa nyumba. unampa taarifa akileta sababu hazieleweki, fanya maamuzi. Kauli 1 tu.
  5. 2v2

    JamiiForums Tanzania Madhara ya choo cha kuchuchumaa

    Tutashindwa sasa
  6. 2v2

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Kwa imani nafahamu Mungu yupo.
  7. 2v2

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Ni kweli, kuna kitu kidogo nakiona kina nichanganya ndoa inapokuwa rasmi ni ya pika pakua, au ya kidini or mila or serikali, maana yetu sisi vijana tunahangaika sana, na vipi kuhusu uhalali na kutokuwa na uhalali wa ndoa, maana kwa nachofahamu kwa sasa ni mpaka 1 afe.
  8. 2v2

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Pia, ukisema uvumilivu ndiyo unadumisha ndoa, naona ni ndiyo lakini lazima viambatane na mambo kama upendo, imani, wajibu
Back
Top Bottom