Leo nimejifunza somo muhimu kutoka kwenye mpira wa miguu. Timu bingwa haishindi kwa sababu imeshinda kila mechi. Inashinda kwa sababu imekusanya pointi za kutosha katika msimu mzima.
Maisha yanafanana na season ya ligi. Watu wengi hujilaumu wanapokutana na changamoto moja au wanaposhindwa...
Ni kweli, kuna kitu kidogo nakiona kina nichanganya ndoa inapokuwa rasmi ni ya pika pakua, au ya kidini or mila or serikali, maana yetu sisi vijana tunahangaika sana, na vipi kuhusu uhalali na kutokuwa na uhalali wa ndoa, maana kwa nachofahamu kwa sasa ni mpaka 1 afe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.