Recent content by 2v2

  1. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una deal vipi na tukio kama hili au nilipotezee ni kawaida tu?

    Hakika 😎
  2. 2v2

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Deni la Taifa lafikia trilion 116

    Kila kitu ni mama kafanya
  3. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Nahisi kuna jambo linaendelea ila ni hisia tu, jaribu kuchunguza kwa watu wa karibu yani shangazi baba mdogo, mkubwa mama dogo,mkubwa wajomba marafiki wa karibu ndugu jamaa nk
  4. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawapongeza wanawake wote ambao husimama kidete waume wao wanapopitia nyakati ngumu za kiuchumi

    Hakika wanasimama katika nafasi zao na si katika swala la uchumi tu ila kimaisha kiujumla. Kongore kwao
  5. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa introvert ni tabu sana!

    Introvert tabu sana hivi nimekuja kupata mchumba mwaka huu
  6. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anachekesha kweli kwa kununa

    Mapenzi raha sana, ikifika hatua hio, bembeleza mtoto huyo.
  7. 2v2

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makosa ya kiuongozi aliyoyafanya Rais Samia na kujikuta anapoteza uungwaji mkono wa wananchi kwa wingi na kasi ya kutisha

    Swala la utekaji naweza kusema ni sawa haya mengine sina uhakika sana
  8. 2v2

    JamiiForums Tanzania Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

    Usiabudu dini abudu Mungu wa kweli dini ni kama taratibu za jamii fulani zinazotokana na imani ya Mungu wao. Ndiyo maana utaona zinatofautiana kwa sehemu na zinafanana kwa sehemu.
  9. 2v2

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

  10. 2v2

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Ndiyo simu yangu ilivyo
  11. 2v2

    JamiiForums Tanzania Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku

    Hamna namna inabidi uzoe tu
  12. 2v2

    JamiiForums Tanzania Jumapili ya leo kwangu ni nzuri na tamu

    Heri kwako
  13. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niliingia chuo na matarajio ya kuwa na mahusiano angalau namimi lakini hadi sasa mambo yamekuwa tofauti, nifanyaje?

    Haya mambo usihalakishe ni swala la nyakati tu
  14. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kaniambia nimwandikie kurasa ishirini za sababu kwanini mpaka sasa nimeshindwa kununua gari

    Wambie pesa za gari wamekula rafiki na marafiki zake
Back
Top Bottom