Ni nyakati fulani zinakuwa zina uzuri wake, pale utakapo maliza na kuingia katika mtaa ndipo aina nyingine ya nyakati unaingia, ndiyo zinaamua tena uelekeo wako wa maisha zinakufanyi uishi uhalisia zaidi, hapa ndipo tamu na chungu unakumbana nazo ni kama maji na samaki unatamani hata ungerudi...
Huu uzi nimeukumbuka, nimeoa nije nipige zoezi kidogo ingawa sina app ya nofap kwa sababu ya simu yangu kujaa nitawarudia nikifika tamati ila leo ndiyo day 1 nitawaona wasaa mwingine
Haya mambo ya kuwa mwili mmoja ni mazuri, lakini kiukweli unahitaji uwe na utayari, pia tukumbuke Mungu ni mwenye uweza hakika tukimtegemea hatuta shindwa
Nahisi kuna jambo linaendelea ila ni hisia tu, jaribu kuchunguza kwa watu wa karibu yani shangazi baba mdogo, mkubwa mama dogo,mkubwa wajomba marafiki wa karibu ndugu jamaa nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.