Nahisi kuna jambo linaendelea ila ni hisia tu, jaribu kuchunguza kwa watu wa karibu yani shangazi baba mdogo, mkubwa mama dogo,mkubwa wajomba marafiki wa karibu ndugu jamaa nk
Usiabudu dini abudu Mungu wa kweli dini ni kama taratibu za jamii fulani zinazotokana na imani ya Mungu wao. Ndiyo maana utaona zinatofautiana kwa sehemu na zinafanana kwa sehemu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.