Pole yako unafanya ubashiri wa mwelekeo wa bei, unategemea utaendesha maisha yako na kupata mafanikio, walau ungekuwa unafanya biashara walau ya mtaji wa 100k kwa miaka nane, leo ungekuwa mbali bro, acha ujinga zinduka.🤯
Ndiyo maana imani hufika tamati tu pale linapotukia jambo, pia kujulikana kuwa ni uongo ni muda wa jambo hilo lisipotokea, lakini maswala ya imani ni magumu kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.