Recent content by 2v2

  1. 2v2

    JamiiForums Tanzania Men's talk: unaoa tabia, shape au bikira?

    Kwa mtazamo wangu naoa mwanamke si tabia, wala shape, mengine ni majaliwa ya mwenyezi Mungu.
  2. 2v2

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakupa kampani ukiwa umeboreka mwenyewe bila watu?

    Namtamani sana mpendwa wako
  3. 2v2

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa sana usije ukakutana tena uso kwa uso na watu uliosoma nao secondary

    Ni nyakati fulani zinakuwa zina uzuri wake, pale utakapo maliza na kuingia katika mtaa ndipo aina nyingine ya nyakati unaingia, ndiyo zinaamua tena uelekeo wako wa maisha zinakufanyi uishi uhalisia zaidi, hapa ndipo tamu na chungu unakumbana nazo ni kama maji na samaki unatamani hata ungerudi...
  4. 2v2

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela, matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyeje?

    Kaza buti safari bado
  5. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

    Huu uzi nimeukumbuka, nimeoa nije nipige zoezi kidogo ingawa sina app ya nofap kwa sababu ya simu yangu kujaa nitawarudia nikifika tamati ila leo ndiyo day 1 nitawaona wasaa mwingine
  6. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jifunze kuzitambua hisia za mwenza wako

    Haya mambo ya kuwa mwili mmoja ni mazuri, lakini kiukweli unahitaji uwe na utayari, pia tukumbuke Mungu ni mwenye uweza hakika tukimtegemea hatuta shindwa
  7. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako

    Lakini si kila mafanikio ya mwanadamu ni kuwa tajiri 🙄
  8. 2v2

    JamiiForums Tanzania Basic computer application tutor,computer programming courses

    Naona waalimu wengi lakini lakini kusikia app inayofanya vizuri tz sijapata kuona nyingi naona za kawaida
  9. 2v2

    JamiiForums Tanzania Application ya Simulizi

    Simu yangu imejaa ningeitembelea.
  10. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitamani kuoa kamwe wala kuwa na mchumba kamwe maisha yangu yote

    Ni swala la muda tu.
  11. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitamani kuoa kamwe wala kuwa na mchumba kamwe maisha yangu yote

    Ni swala la muda tu.
  12. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una deal vipi na tukio kama hili au nilipotezee ni kawaida tu?

    Hakika 😎
  13. 2v2

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Deni la Taifa lafikia trilion 116

    Kila kitu ni mama kafanya
  14. 2v2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Nahisi kuna jambo linaendelea ila ni hisia tu, jaribu kuchunguza kwa watu wa karibu yani shangazi baba mdogo, mkubwa mama dogo,mkubwa wajomba marafiki wa karibu ndugu jamaa nk
Back
Top Bottom