Naweza sema tunafanana maono, Tanzania hatuandai watoto kuja kutawala na kumiliki, hatuwaandai kufanya mambo makubwa, tunajitagmhidi tu watakapokua wawe na uhakika wa kuka tuu, ndio maana utasikia soma sayansi ina ajira nyingi, malezi hayachochei ubunifu kabisa. Pitia na kwangu rafiki...