Hili jambo ni ukweli usiopingika mwanzo waliwekwa nyumba moja nkuhungu karibu na kkkt wamechanganyika wavulana na wasichana . wazazi tufuatilie tunapoambiwa wanakaa hosteli fika ujiridhishe hapa tutaleta na picha km mkiendelea kubisha
Wamalawi walianza kuingia nchini siku nyingi km wafanyakazi wa ndani wa majumba ya viongozi wakubwa baada kupeleka watoto wao shule za kingereza wakirudi nyumbani housegilr hawezi kingereza hapo ndipo walipo pata soko walikuwa wanalipwa mpaka 250,k kwa mwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.