Recent content by 2day

  1. 2day

    Viongozi wa makanisa msitufukuze kanisani

    Lile ni kanisan lake lina kkkt ni usharika sio mtu binafsi
  2. 2day

    Wakuu hivi watengeza ugoro huwa wanachanganya nini mpaka unakuwa mkali sana?

    Hiyo zambia bora upatikane na bangi kuliko ugoro
  3. 2day

    Kama kuna mzazi anasomesha mtoto wake wa kike Dodoma Media College (DMC) basi ajiandae kisaikolojia

    Hili jambo ni ukweli usiopingika mwanzo waliwekwa nyumba moja nkuhungu karibu na kkkt wamechanganyika wavulana na wasichana . wazazi tufuatilie tunapoambiwa wanakaa hosteli fika ujiridhishe hapa tutaleta na picha km mkiendelea kubisha
  4. 2day

    Siyo kila mzazi anayeachiwa malezi ya mtoto peke yake katelekezewa makusudi, hapana

    Huyo mtoto anababa zaidi ya mmoja inawezekana baba aliyekaribu ndio amechukua jukumu lake rasmi
  5. 2day

    DOKEZO Kuna wakimbizi wengi toka Malawi maeneo ya Mwananyamala

    Wamalawi walianza kuingia nchini siku nyingi km wafanyakazi wa ndani wa majumba ya viongozi wakubwa baada kupeleka watoto wao shule za kingereza wakirudi nyumbani housegilr hawezi kingereza hapo ndipo walipo pata soko walikuwa wanalipwa mpaka 250,k kwa mwezi
  6. 2day

    Mkataba wa Bandari: Diaspora Waandamana kupinga Mkataba wa Bandari leo Agosti 18, 2023 London

    Watanzania tuamke huu ujinga utatumaliza ukipata nafasi ya kuwaelimisha watu wape elimu
  7. 2day

    Dada wa kazi anajua ratiba zangu kuliko Mke wangu!

    Siku nyingine unaoga maji baridi ukimaliza jikun'gute km mbwa usitabilike
  8. 2day

    Rais Samia chukua hatua kali kwa wafanyabiashara wanaoficha mafuta

    Umeshawahi kujiuliza kazi ya EWURA
  9. 2day

    Rais Samia chukua hatua kali kwa wafanyabiashara wanaoficha mafuta

    Mama yupo hoi nchi imemshinda
Back
Top Bottom