Kinyarugina
Member
- May 12, 2022
- 42
- 58
Kumekuwa na ongezo la bei ya sukari wilayani Kibondo huku sababu zinazotolewa kuwa kuna uhaba wa sukari:
Wakala alie pewa kuhudumia sukari wilaya hii kama agent anae toa kiwandani amekuwa akileta sukari na kuwa bei kubwa.
Mfano kwa sasa sukari inauzwa @ 3500/= kwa kg 1 na huku sukari ya mfuko ikiuzwa mpka elfu kwenye maduka ya jumla 74.
Mpka sasa ni zaidi ya miezi kadhaa sukari ya pact ile inayofungwa kwa kg 1 haipatikani.
Serikali, wilayani kibondo mkoa Kigoma muangalie changamoto na uhaba sukari uliopo wilayani humu.
Wakala alie pewa kuhudumia sukari wilaya hii kama agent anae toa kiwandani amekuwa akileta sukari na kuwa bei kubwa.
Mfano kwa sasa sukari inauzwa @ 3500/= kwa kg 1 na huku sukari ya mfuko ikiuzwa mpka elfu kwenye maduka ya jumla 74.
Mpka sasa ni zaidi ya miezi kadhaa sukari ya pact ile inayofungwa kwa kg 1 haipatikani.
Serikali, wilayani kibondo mkoa Kigoma muangalie changamoto na uhaba sukari uliopo wilayani humu.