Recent content by 2030 president

  1. 2

    JamiiForums Tanzania Ndoto yangu inaniambia tar 21.9.26 kuna Jambo gumu na zito sana litatokea nchi ya X

    Mwenyezi Mungu Amekasirika sana ndoto niliyooteshwa siyo ya kawaida ni ndoto ngumu na nzito inayoenda kukitikisa nchi X damu isiyo na hatia bado inadai haki, kwa hiyo ni muda wa kukesha na kuomba hili lisitokee katika nchi X
  2. 2

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu aongoza harambee ya maombi ya kitaifa, achangisha milioni 700

    Chadema wamuombe awachangishie
  3. 2

    JamiiForums Tanzania Mwinyi kuwa Rais 2030, Makamu wake ataendelea kuwa Deo Ndejembi

    Rais 2030 ni Dr Mwinyi, Makamu wake ni Ndejembi
  4. 2

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kesi ya Lissu: Atakutwa na hatia, atapewa kifungo cha nje, under house arrest na atazuiwa kufanya shughuli zozote za kijamii na kisiasa

    Inayolengwa ni chadema, hukumu hiyo ikitoka, itamrahisishia Mbowe kuipoka chadema
  5. 2

    JamiiForums Tanzania Wanaodhani Mh. Lisu hatahukumiwa kunyongwa, warejee kisa cha Babu Seya na kesi yake ya ubakaji

    Huyo lisu pimbi tu huyo atanyongwa
  6. 2

    JamiiForums Tanzania Wanaodhani Mh. Lisu hatahukumiwa kunyongwa, warejee kisa cha Babu Seya na kesi yake ya ubakaji

    Lisu ni mjinga sana alimtukana Magufuli bila sababu za msingi akaanza kula deal na wazungu ndege zetu zikaanza kukamatwa amefanya mengi ya hovyo sana afungwe tu kwakweli
  7. 2

    JamiiForums Tanzania Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

    Tundu lisu anyongwe
  8. 2

    JamiiForums Tanzania Nchimbi angesoma na kuzielewa sheria zifuatazo kwenye kitabu cha 48 laws of power kingemsaidia sana

    Sheria namba 1, 14, 18, 35, 38, na sheria namba 46 Never Outshine the Master Pose as a Friend, Work as a Spy Do Not Build Fortresses to Protect Yourself—Isolation Is Dangerous Master the Art of Timing Think as You Like, But Behave Like Others Never Appear Too Perfect
  9. 2

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara, viongozi wegine wote walikewepo Emmanuel Nchimbi tu hakuwepo, kwanini?
  10. 2

    JamiiForums Tanzania Siioni Tanzania bila Heche na Lissu

    Huna akili wewe
  11. 2

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Huyu ni mtoto Pendwa wa wagalatia
  12. 2

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Amini hili nakuambia Mwinyi atakuwa Rais wa JMT 2030-2040 kwa sababu alikuwepo kwenye utaratibu kwa muda mrefu sana, na mwaka 2030 Tanzania inahitaji Rais mponya watu mvunja makundi
  13. 2

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Kwa utulivu wake wa namna ya kuyaunganisha makundi mbalimbali ndiye Rais wa Tanzania 2030-2040
Back
Top Bottom