Recent content by 1st things first

  1. 1

    Bifu la Man U na Liverpool lilianzaje?

    Yanga na Simba hawana uhasama halafu kama ukitaka kuuliza unauliza tu mkuu usitupangie cha kuuliza jitambue basi
  2. 1

    Bifu la Man U na Liverpool lilianzaje?

    Kwa kifupi, nani anaefahamu bifu la Man U na Liverpool lilianzaje mpaka kushindwa kuuziana wachezaji?
  3. 1

    Ushauri fani ya mtu mwenye diploma ya uuguzi kujiendeleza kwa ngazi yoyote

    Naomba ushauri wa kujiendeleza kwa mtu mwenye fani ya stashahada ya uuguzi na ukunga na fani hiyo ya kujiendeleza iwe tofauti kabisa na career ya uuguzi au ukunga
  4. 1

    GE2020 Kura yangu kwa Lissu

    Kweli mkuu vivuko vya barabara tunaambiwa fly over
  5. 1

    Naombeni kazi, kibarua au connection kwa mwenye kujua

    Ukitaka kutenda wema usiangalie hayo Tenda wema sepa
  6. 1

    GE2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

    Tutakuaminije Sasa mkuu hao wanaohudhuria mikutano umejuaje kama hua hawapigi kura na wasio hudhuria umejuaje kama ndo wanaopiga haya mimi sihudhurii fiesta za sisem na kura sipigi Yani unaongea utumbo mtupu
  7. 1

    Naombeni ushauri wa haraka kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi

    Wazazi wake wamefariki miaka ya 2006 binti akiwa o level na sasa iv ana miaka 23 kweli???
Back
Top Bottom