Mtoa hoja, Mimi sijaelewa hapo naomba ufafanuzi,
Yani Rais Magufuli alitaka ahongwe bilioni 300 ili apotezee hii issue au kuna watu walitaka kumuhonga yeye akazikataa?
Hebu weka vizuri hiki kiswahili ili tuelewe hii hoja.
Samahani lakini.
Watanzania bwana.....
Binafsi sikubaliani na yanayoendelea hapa Tanzanian, lakini swala la Nape kumpa sifa eti ndiye aliyepambana hadi mjomba Magu kua alipo, siliungi mkono...
Kumbukeni Nape alikua muajiriwa na alikua analipwa pesa kama muajiriwa mwingine, hivyo aliyoyafanya kipindi hicho...
Habari wana JF.
Naombeni ushauri ninatatizo la kucha za vidole gumba toka mwaka 2015 October.
Nimeshazunguka hospital nyingi hapa Dar es salaam na hata kufanyiwa upasuaji mdogo lakini tatizo limebaki pale pale.
Nilishsenda Hospital nikapima vipimo vyote ikiwemo na sukari lakini nikaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.