Pascal,kwa level yako sikutegemea ulichukulie hili kisiasa,polisi wamesema taarifa wanazo na wamesha suppress, hawa jamaa mbona huwa wanatoa taarifa mara nyingi,hii si mara ya kwanza kwao,tuache serikali ifanye kazi,wanajua cha kufanya,sisi tuache kusambaza uoga kwa watu,lakini inawezekana hizi...