Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Umeelewa content lakini ?Wale wa MIGA na wale wa kushangilia saga la makinikia wote mje hapa mtufafanulie hawa jamaa wameshindwaje kuiburuza Tanzania mahakama za kimataifa za usuluhishi wa kibiashara?
Kweli serikali ya Magufuli imekurupuka na ripoti ya ya maprofesa ilikuwa mbovu kiasi cha kustahili kuitwa 'Profeserio rubbish'?