Recent content by 07596112

  1. 0

    Nampenda san lakin ni msaliti.

    Pole kijana kwa swala hilo mm nakushauri uumuulize na umwambie wazi na aeleze kama kweli yko na wewe na akwambie ametoka na wangap na umuulize yeye ana mpango gani nakwambia unaweza kungangania mchumba kumbe hakupendi na wapo wanao kupenda kwa dhat asikusumbue mwambie aseme hatima yake, juu yako...
  2. 0

    Silinde Ernest David: Ushindi wa Lissu na tafsiri ya utawala bora

    Kwa kweliii ni tatizo kubwa sana hadi sasa naweza kusema serikalii hii haieleweki ni presidential au non presdential
  3. 0

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Hakuna haja ya kufichana kwa maana mficha uchi hazai waandishi wamedhalilishwa vya kutosha na waeleze vzur vngnevyo watakuwa nao wanakula njama za hujuma hizo
Back
Top Bottom