Pole kijana kwa swala hilo mm nakushauri uumuulize na umwambie wazi na aeleze kama kweli yko na wewe na akwambie ametoka na wangap na umuulize yeye ana mpango gani nakwambia unaweza kungangania mchumba kumbe hakupendi na wapo wanao kupenda kwa dhat asikusumbue mwambie aseme hatima yake, juu yako...
Hakuna haja ya kufichana kwa maana mficha uchi hazai waandishi wamedhalilishwa vya kutosha na waeleze vzur vngnevyo watakuwa nao wanakula njama za hujuma hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.