Habari zenu wakuu.
Nlikua napenda kujua kuhusu kama mtu aliesoma accounts hua anachukua CPA je kwa mtu aliesoma business administration hua anachukua nini au ndo anabaki na degree yake au diploma hivo hivo?
Samahani ndugu naomba unieleweshe kidogo...kwamba mwene diploma anaanza na stage ya foundation na mwene degree anaanza na intermediate?! Na stage hizo zinachukua muda gani kumaliza??
Na ukimaliza hizo stage ndo unakua na uwezo wa kuingia masters?
Ila waziri wa elimu n tcu wote wanakurupuka ilipo kua wanachukua kuanzia gpa ya 2.7 watu walikua wasipo fika wanasoma pre-entry sasa 3.5 ya bila taarifa na pre-entry zimefutwa.
Msemo wa ukielimisha mwanamke umeelimisha jamii kwa huyo mama hakuna maana ni mwanamke asie na mawazo ya vizazi vingine jamii anayoijua n familia yake tu. Ila tusikate tamaa walijua kawakisema mapema watu wangepata hiyo gpa ndomana wakaamua kushtukiza
Tatizo lako hujui uchungu wa elimu nahisi hata hizo gpa huzijui kwa mtu mwene elimu hawezi kuongea hivo eti 4.0 ndo nyie mlikua mkipata vi C flat kisa huko nyuma hamkukaziwa basi wenzenu mtakaa kuwasema.
Mtu anaejielewa hawezi kumwita mwenzie kilaza kisa hana gpa ya 3.5 kuna watu faculties wanazosomea ni vigumu sana kupata hiyo 3.5. Ila wengine wanawakatisha tamaa kusoma sio kufanikiwa kimaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.