Nipo serious wakuu!
Bado naitafuta mawasiliano +51 920608996..mwenye info anaweza akaniona inbox kwa namba iyo!
Please niweke kwa hilo group.
Shukrani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wakuu naomba msaada kama kuna mtu ana sources au analima hiriki.
Zinahitajika tani zozote, mwenye sources au kama we ni source please nione inbox.
Specifically nahitaji hiriki za namna hii kama kwenye hizi picha.
Sent from my iPhone using JamiiForums
nilichokuwa namaanisha ni kuwa je huo upungufu wa damu vipímo alivopima vinaonyesha ni type gani ya upungufu wa damu au kwa lugha rahisi huo ipungufu umeletwa na sababu gan..!!maaana bila kujua sababu specific ni sawa utakuwa unajaza maji ndoo iliotoboka...kwasababu kuna type nyingi na sababu...
Huyo dawa yake ni kumkazia afanye jambo productive.!!Hakuna mambo ya kuleanaleana..hilo ni bomu litakuja lipuka one day na watakaodhurika ni wanaomzunguka.
[emoji850]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.