Recent content by 001MZIBA

  1. 0

    Sababu tano kwanini walimu hawawezi kugoma Tanzania

    Ki ukweli mimi binafsi huwa sifurahi kuona ualimu unakuwa ndio taaluma inayopuuzwa mara kwa mara hapa nchini wakati mataifa mengine hujitaidi kuwekeza zaidi katika Elimu kwa kuwaboreshea maisha bora walimu.
  2. 0

    Baadhi ya mambo yanayofukuza fedha maishani.

    Umeeleza vyema ndugu na kuna hoja ambazo tukizingatia huenda zikatusaidia katika suala zima la kumiliki pesa kwa muda mrefu.
  3. 0

    Masoud Kipanya:Tumerudi relini

    Hahaha!Masoud bhana.
  4. 0

    Kibonde wa Clouds FM asema Africa hakuna tume huru ya uchaguzi

    Ndio maana mara nyingi hawa waandishi wetu wa habari huombwa kuwa makini pale wanadeliver masuala ili kuepusha kuzuka kwa mijadala inayoweza kuwajengea watu fikra zisizo sahihi.
  5. 0

    GEITA: Waokoaji wapata kuwasiliana na waliofukiwa na kifusi mgodini, warudisha majibu kuwa wako hai

    Dah!Mwenyezi awasaidie waendelee kuwa salama na serikali iongeze bidii ya kuwakomboa.
  6. 0

    Madalali wa nyumba Mwanza, nahitaji nyumba

    Mwanza kubwa mkuu ungesema unahitaji eneo gani?
  7. 0

    Bado kidogo tu nikodishe gari nipige wimbo wa "wataisoma namba" jiji zima

    Hahaha dah!kipindi hiki mitazamo imekuwa mingi asee.
  8. 0

    Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

    Dah!sitamsahau CHUMA CHAUSIKU hyo ilikuwa mwanza.
Back
Top Bottom