Hiyo hali mimi imenikuta leo kwenye dala dala hapa Mwanza,nimepandia pale Nyegezi kufika pale kituo cha kijiweni akapanda mda mzuri mfupi wa wastani ila ana mzigo haswa tena wa haja,basi akatuama mbele yangu kila nikifanya hv ana mm,aisee mpaka kufika Nata sijitambui,aisee yule dada..
Hv hiz habar ambazo hazina ukweli hadithi za sungura bado kuna mtu bado anazianini,je unaweza kuwa hata na wake 100 na inawaweza?,hiyo ni ngonjera,mfano mwingine wa uongo Musa na nchi ya ahadi,je km 600 unaweza tembea hizo siku watembea walitemetembea wanaisrael?
Ni ukweli kabisa usiopingika Hii nchi ndio inayoongoza kwa vilaza sio Afrika tu bali duniani kote,Nchi ina kila kitu lakini watu bado wanaishi kitenge😞😞😞😞
Kama haujawahi kuumwa lazima umkejeli umuite majina yote,lakini kumbuka ugonjwa unauma sana.kama hauna namna ya kusaidia tulia kama ulivo hii ni dunia tu hauwezi jua kituo kinachofata.maana ya jukwaa ni kusaidiana.
Wako sahihi kwa kilichofanyika,hii nchi imejaaa chekechea na vilaza shazi,lini nchi hii ikawa na watu wenye kujitambua njaa+akili robo unafikiri Kuna mabadiliko????Taifa haliwezi kubadilika kwa kutegemea akili za Watu waliozeeka,coz huongoza katika mfumo wa ndoto😭😭😭😭😭😭😭
Hakika Mm naweza kusema kuwa,huu Uzi ni Uzi Bora wa kufungulia mwaka 2025,Yako mengi ya kujifunza na kuchukua tahadhari.Hasa kwa sisi Wanaume Wala bata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.